Mimi Mars: The Most Underrated Tanzanian Female Arstist

Mimi Mars: The Most Underrated Tanzanian Female Arstist

Kwa upande wangu awekeze nguvu kwa sanaa ya Maigizo. Huku kwa Muziki aliingia kwa ushawishi wa Dada ake, wala hafit kuwepo hata alipo hapo ashukuru Jah na umaarufu wa ndugu ake ume mbeba.

Maria km Maria, Mwanakondoo mwenye mambo yake mjini, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Unajua kwao Vanessa, vee sio wa kwanza kutoka kwenye media au entertainment industry

Namtero, sister wao alikuwa na jina kubwa kama presenter Kenya na baadae vee akaingia kwenye same route kupitia MTV

Na Mimi Mars nae kapitia humo humo.. Wote walikuwa presenters, Mc's and singers.. Japo vee ndio alikuwa mkubwa zaidi kwenye muziki ila Mariane naona anaenda kuwa mkubwa kwenye film

umaarufu wa sister ake umempush the same wakenya walikuwa wanamuona Vee kama mdogo wake na Namtero mdee..kwa hiyo hivyo vitu ni kama vipo kwenye damu yao Tu
Namtero si ndo Nancy? Yule alieolewa Kenya? Au yupi? Nafahamu sana kuwa Vee sio wa kwanza, ila nasema Mariane kapata umaarufu kupitia mama buttah.
 
Ok

Naungana na wewe ana ngoma kali lakini hapati attention sana bora hata wakati dada yake bado yuko kwenye game upepo wa dada ulikuwa unampa support pia kuliko sasa.
Ila mimi nakubali ngona sana, Una, lile beat la badman ukichanganya na marioo na michano ya yule kijana nani yule...
Ukaja ngoma ya haina maana, na ngoma zake zote nazielewa sana.
Sisi vijana wa zamani tunacoment wapi
 
Ok

Naungana na wewe ana ngoma kali lakini hapati attention sana bora hata wakati dada yake bado yuko kwenye game upepo wa dada ulikuwa unampa support pia kuliko sasa.
Ila mimi nakubali ngona sana, Una, lile beat la badman ukichanganya na marioo na michano ya yule kijana nani yule...
Ukaja ngoma ya haina maana, na ngoma zake zote nazielewa sana.
Sisi vijana wa zamani tunacoment wapi
 
Sisi vijana wa zamani tunacoment wapi
Mkuu mimi mpya kwa watu ili mimi wa zamani. Kila mara nawaambia vijana achana na hawa akina Cardi B, kulikuwa na mabinti wanachana kama Eve E, akina Foxy Brown, akina Da Brat, Miss Eliot, na wambia kulikuwa na kundi linaitwa Dru Hill, kulikuwa na Ruff Riders, na waambia Rkelly alikuwa anatoa hit kila uchwao.
Nawaeleza kuwa I lived in the time of Ashanti and Ja Rule ilikuwa perfect Combo hatari.
Nawambia hapa Tz kulikuwa na Gangwe Mob wanapiga pamba hatari wana Gangwe Gear, Nawaambia wimbo wa Machozi wa JayD ulibadili industry ya RnB, nawaambia kuwa kulikuwa na Mike T, alikuwa ana hit za hatari anaipeperusha Mj records sambamba na wagosi wa kaya. Nawakumbusha kuwa, kulikuwa na mmasai anaitwa mR Ebo alikuwa anatoa hit after hit.
Nawaambia kulikuwa na tuzo za Kora, channel O ilikuwa channel inatisha ya mziki, nawaeleza kwamba kulikuwa kuna mwadada anaitwa Aliyah alikuwa ni balaa lingine yule.
Sema if you live in the past the future will never find you.
 
Mkuu mimi mpya kwa watu ili mimi wa zamani. Kila mara nawaambia vijana achana na hawa akina Cardi B, kulikuwa na mabinti wanachana kama Eve E, akina Foxy Brown, akina Da Brat, Miss Eliot, na wambia kulikuwa na kundi linaitwa Dru Hill, kulikuwa na Ruff Riders, na waambia Rkelly alikuwa anatoa hit kila uchwao.
Nawaeleza kuwa I lived in the time of Ashanti and Ja Rule ilikuwa perfect Combo hatari.
Nawambia hapa Tz kulikuwa na Gangwe Mob wanapiga pamba hatari wana Gangwe Gear, Nawaambia wimbo wa Machozi wa JayD ulibadili industry ya RnB, nawaambia kuwa kulikuwa na Mike T, alikuwa ana hit za hatari anaipeperusha Mj records sambamba na wagosi wa kaya. Nawakumbusha kuwa, kulikuwa na mmasai anaitwa mR Ebo alikuwa anatoa hit after hit.
Nawaambia kulikuwa na tuzo za Kora, channel O ilikuwa channel inatisha ya mziki, nawaeleza kwamba kulikuwa kuna mwadada anaitwa Aliyah alikuwa ni balaa lingine yule.
Sema if you live in the past the future will never find you.
Mbona yote hayo sio zamani?au mimi ndio sitaki kukubali uzee
 
Back
Top Bottom