Yeah aliokoka baada ya kuolewa na mchungaji.. Akaipiga chini entertainment na kuwa gospel singerHuyo dada yake Vee pia ni gospel singer
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa upande wangu awekeze nguvu kwa sanaa ya Maigizo. Huku kwa Muziki aliingia kwa ushawishi wa Dada ake, wala hafit kuwepo hata alipo hapo ashukuru Jah na umaarufu wa ndugu ake ume mbeba.
Maria km Maria, Mwanakondoo mwenye mambo yake mjini, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanakondoo amenichekesha Leo Jamani. Thomas alivyokazana na "ooh Jehova" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maria kama Maria [emoji16]
Namtero si ndo Nancy? Yule alieolewa Kenya? Au yupi? Nafahamu sana kuwa Vee sio wa kwanza, ila nasema Mariane kapata umaarufu kupitia mama buttah.Unajua kwao Vanessa, vee sio wa kwanza kutoka kwenye media au entertainment industry
Namtero, sister wao alikuwa na jina kubwa kama presenter Kenya na baadae vee akaingia kwenye same route kupitia MTV
Na Mimi Mars nae kapitia humo humo.. Wote walikuwa presenters, Mc's and singers.. Japo vee ndio alikuwa mkubwa zaidi kwenye muziki ila Mariane naona anaenda kuwa mkubwa kwenye film
umaarufu wa sister ake umempush the same wakenya walikuwa wanamuona Vee kama mdogo wake na Namtero mdee..kwa hiyo hivyo vitu ni kama vipo kwenye damu yao Tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wana kondooo, wana mambo nyie khaaah.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie lamatah ni noumaah, hii Jua kali ni kibokooo.Mwanakondoo amenichekesha Leo Jamani. Thomas alivyokazana na "ooh Jehova" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda youtube umcheki.Huu Uzi ni batili bila wimbo wake angalau mmoja.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mwanakondoo amenichekesha Leo Jamani. Thomas alivyokazana na "ooh Jehova" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Lamata anajua, anajua, anajua tenaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie lamatah ni noumaah, hii Jua kali ni kibokooo.
Siku Frank akijua; hilo jua litakalomuwakia Maria mmmmmhHahahah Maria kama Maria ni balaaa. Frank kachezewa bonge la igizo
Sanaaaaa.Lamata anajua, anajua, anajua tenaaaa
Sisi vijana wa zamani tunacoment wapiOk
Naungana na wewe ana ngoma kali lakini hapati attention sana bora hata wakati dada yake bado yuko kwenye game upepo wa dada ulikuwa unampa support pia kuliko sasa.
Ila mimi nakubali ngona sana, Una, lile beat la badman ukichanganya na marioo na michano ya yule kijana nani yule...
Ukaja ngoma ya haina maana, na ngoma zake zote nazielewa sana.
Sisi vijana wa zamani tunacoment wapiOk
Naungana na wewe ana ngoma kali lakini hapati attention sana bora hata wakati dada yake bado yuko kwenye game upepo wa dada ulikuwa unampa support pia kuliko sasa.
Ila mimi nakubali ngona sana, Una, lile beat la badman ukichanganya na marioo na michano ya yule kijana nani yule...
Ukaja ngoma ya haina maana, na ngoma zake zote nazielewa sana.
Mkuu mimi mpya kwa watu ili mimi wa zamani. Kila mara nawaambia vijana achana na hawa akina Cardi B, kulikuwa na mabinti wanachana kama Eve E, akina Foxy Brown, akina Da Brat, Miss Eliot, na wambia kulikuwa na kundi linaitwa Dru Hill, kulikuwa na Ruff Riders, na waambia Rkelly alikuwa anatoa hit kila uchwao.Sisi vijana wa zamani tunacoment wapi
Mbona yote hayo sio zamani?au mimi ndio sitaki kukubali uzeeMkuu mimi mpya kwa watu ili mimi wa zamani. Kila mara nawaambia vijana achana na hawa akina Cardi B, kulikuwa na mabinti wanachana kama Eve E, akina Foxy Brown, akina Da Brat, Miss Eliot, na wambia kulikuwa na kundi linaitwa Dru Hill, kulikuwa na Ruff Riders, na waambia Rkelly alikuwa anatoa hit kila uchwao.
Nawaeleza kuwa I lived in the time of Ashanti and Ja Rule ilikuwa perfect Combo hatari.
Nawambia hapa Tz kulikuwa na Gangwe Mob wanapiga pamba hatari wana Gangwe Gear, Nawaambia wimbo wa Machozi wa JayD ulibadili industry ya RnB, nawaambia kuwa kulikuwa na Mike T, alikuwa ana hit za hatari anaipeperusha Mj records sambamba na wagosi wa kaya. Nawakumbusha kuwa, kulikuwa na mmasai anaitwa mR Ebo alikuwa anatoa hit after hit.
Nawaambia kulikuwa na tuzo za Kora, channel O ilikuwa channel inatisha ya mziki, nawaeleza kwamba kulikuwa kuna mwadada anaitwa Aliyah alikuwa ni balaa lingine yule.
Sema if you live in the past the future will never find you.