myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Mkuu mimi mimeisoma biblia na qur'an. Tena sana...Umebadili mada🤣🤣🤣
Maswali yangu vp kuhusu uislamu na uarabu mkuu??
Allah mungu wa kiarabu labda hafanani na watu.ALLAH hafabani na chochote, huyo mwingine kama myahudi sijui..
Nenda Google...Idadi ya waislamu wa wapi mkuu??
Indonesia au afrika au japan au north amerika mkuu.??
🤣🤣🤣🤣Allah mungu wa kiarabu labda hafanani na watu.
Ila Yehovah aliumba wafuasi wake kwa mfano wake yeye.
Wewe umesoma biblia na umeona madhaifu.Mkuu mimi mimeisoma biblia na qur'an. Tena sana...
Sipendi malumbano kwa kuwa najua udhaifu mkubwa kwenye baadhi ya maandiko. Hukohuko unakoamini!
😂🤣🤣🤣 Source google 🤣🤣🤣😂Nenda Google...
Kwako Google itakufaa..😂🤣🤣🤣 Source google 🤣🤣🤣😂
Kwako Google itakufaa..
Lakini pia hatujasikia askari wa Ukraine wanajificha mashuleni na mahospitalini.Yeah, nakuunga mkono sana.. ndomaana ukichunguza vifo vingi vitokanavyo na vita ya Ukraine ni wanajeshi raia wachache sana.
Lkn Israel haijamaliza hata siku 40 washakuja raia zaidi ya elfu kumi na mbili.
Pumba tupu na conspiracy theoriesYou are mostly correct Proved,except for one additional comment.
Warumi through their King Constantine from 15th March 321 through to 327 AD in collaboration with the Catholics ndio walioanza kuingiza upagani into Christianity including Sunday worship,and for this God will never forgive the Catholic establishment.In the Book of Revelation Chapter 18,we see God destroying the Catholic establishment.
Al Jazeera reporting yao iko biased sanaChanzo cha taarifa yako ni vyombo vya propoganda vya Waarabu bila shaka.
Wale Wayahudi wa asili wako wapi sasa?Mwandishi anaongelea wayahudi wa asili, hawa waliopo Israel sasa hivi ni ashkenazi, hawana asili ya kiyahudi.
Ndiyo maana mpaka leo hawataki kabisa na ni marufuku kupimwa dna.
Kwa hiyo makombora ya Hamas yanamacho yanachagua watu wazima tu tena wanaume! 😂😂Hao Mayahudi waliuwawa na kundi la Hamas. Na wala siyo wale watoto na akina mama wasio na hatia yoyote ile wa Kipalestina.
Kadhalika madini ya kutengeneza hizo simu yametoka kwetu,bila madini yetu wasingetengeneza hizo simu,hivyo tunategemeana kwa kila jamboHata hii simu unayotumia wametengeneza hao!
Wanawaua I'll Hamas wajitokeze na kujidhalimisha[emoji1787][emoji1787]Mayahudi ni majitu makatili tu. Na ndiyo maana hayaoni aibu kuua wanawake na watoto mchana kweupe kwa mabomu, kwa kigezo cha kushambuliwa na Hamas.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umemaliza KakaHao watoto wanatakiwa kuwaondoa pale Hamas wanapoanzisha uchokozi dhidi ya Israel, ili jamaa wakianza kuwatandika, wasitumie kigezo cha kuua watoto, hao watoto simply wanauawa na ndugu zao wenyewe kwa uchokozi wao dhidi ya Israel.
Kuanzisha uchokozi halafu kwenda kujificha kwa watoto kama ngao dhidi ya mashambulizi, kunaonesha vile Hamas walivyo wajinga, wabinafsi, na makatili wasio na huruma hata kwa watu wao.
CorrectlyKwani yale masquad yaliyotumwa tarehe 7/10 yangetua peacefully bila kuzuiliwa na iron domes yangechagua wa kuua? Je yalielekezwa kambi za jeshi au ikulu?
Huwa najaribu kuvaa viatu vya mazayuni naona kabisa jaribio la 7/10 lilikuwa na nia ya kuwafuta mazayuni na nchi yao kwenye uso wa dunia.
Kwa hali hiyo ni ngumu kumrudisha nyuma mbogo aliyejeruhiwa. Dunia itazungumza tu kama formalities lakini wakuu wa dunia wanaelewa hofu ya mazayuni in the future. Kwa sababu hujui nini atakifanya tena huyo adui yako miaka 5 ijayo wakati unapodhani kuna utulivu.
Naona ugumu uliopo katika kuwarudisha mazayuni nyuma.
Wameamua iwe mvua iwe jua, wafe au wapone ila mission yao hadi ikamilike.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Unadhani wao madini hawana?Kadhalika madini ya kutengeneza hizo simu yametoka kwetu,bila madini yetu wasingetengeneza hizo simu,hivyo tunategemeana kwa kila jambo