Mimi Mwarabu na sielewi kwanini ulimwengu hauwezi kukubali maumivu ya Kiyahudi

Ulitaka wakubali kirahisi ili kuuhalalisha huo uonevu na ukandamizaji unaofanywa na Mayahudi kwa Wapalestina miaka nenda?

Mimi kwa mtazamo wangu naona wako sahihi. Ili ulimwengu wote uone ukatili unaofanywa na hao Mazayuni kwa watoto na akina mama wasio na hatia wa Kipalestina, kwa kisingizio cha kuwaangamiza Hamas.
 
Propagandas at work, rubbish
 
Suluhu hapo ni UN kuligawa tu hilo eneo ili Mataifa mawili huru yatokee kama ilivyokuwa imependekezwa hapo awali. Yaani Taifa huru la Israel, na pia Taifa huru la Palestina.

Kinyume na hapo, watu wasio na hatia wataendelea kuuwawa.
Je, Waarabu wana imani na UN? Bado ni tatizo kwasababu Marekani ana influence kubwa ktk chombo hiki hivyo si rahisi kwa Mwarabu kuona katendewa haki.
 
Mayahudi ni majitu makatili tu. Na ndiyo maana hayaoni aibu kuua wanawake na watoto mchana kweupe kwa mabomu, kwa kigezo cha kushambuliwa na Hamas.
Halafu kwanini huwa wanachukua scenerio kuanzia 10/7 tu?? Ukatili wa mayahudi umeanza kitambo sana Kwa wapalestina.
 
Una uhakika mimi ni Muislam? Sheikh adriz, tafadhali naomba uje utoe ushuhuda huku kama na mimi ni ndugu yenu katika imaan, kisa tu nimesimama upande wa Wapalestina dhidi ya Mayahudi.
Hujo jamaa ni religious fanatic anapenda kujitoa ufahamu kwenye masuala ya kidini, wakati inajulikana kuwa wewe ni mkatoliki na watu wa dini mbalimbali wamelaani ukatili unaoendelea kufanywa dhidi ya wakazi wa ghaza.
 
Mayahudi ni majitu makatili tu. Na ndiyo maana hayaoni aibu kuua wanawake na watoto mchana kweupe kwa mabomu, kwa kigezo cha kushambuliwa na Hamas.
Maarabu Ni Majini Katili ndo maana huwa yanajitoa mhanga na kuua mtu yeyote wapendaye. Yenyewe kwa yenyewe yanachinjana kama adhabu, yanajitoa mhanga na kuua watu wengi pasipo sababu. Halafu yakiua yanaenda kujificha kwa watoto wadogo na wanawake kama kinga yao ili yasishambuliwe. MIMI NASEMA YAUAWE TU. MWANA KULITAKA MWANA KULIPATA.
 
Tatizo ni raia wapalestina kuwaficha hamas. Yaani ukiwa na akili ya kitaqbiri, huwazi kabla yakutenda. Hamas wanashambulia watu,wanaua. Wakati palikua na amani. Then raia wanafanya sherehe, na kushangilia mauaji pamoja na hamas. Wanavuna walichokihitaji.
 
Kule Bucha, Lyman yale makaburi ya halaiki na Usha hiding upo yalikuwa ni maghala ya silaha yaliyoshambuliwa na urusi usiwe unaropoka uwongo na unafiki ndugu yangu hata imani yako haisemi hivyo simamia ukweli siku zote

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Na hii hesabu ni Kwa miaka miwili pamoja na mashambulizi makubwa sana tunayoyaona pale, lkn Israel siku 30 washakuja zaidi ya raia 12 elfu.

Your comment plz
Tofauti ya Hamas na jeshi la Ukraine ni kwamba Hamas huwageuza ngao wapalestina ili kutafuta huruma ya dunia

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 

Sina haja kujua huu ujinga wote ulioandika hapa, ninachokijua ni kuwa mungu wenu muarabu kawaaingiza mkenge mlumbane na dini zote duniani, kawaachia maandiko yaliyojaa chuki na kila mnapolazimisha ugomvi na dini zingine mnauawa wenywe

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
 
Hamas walipoua wayahudi 1400 October 7 ni watu wenye huruma sana hii dunia imejaa watu wanafiki kama wewe

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo kwa sababu kikundi cha Hamas kilivamia Israel na kuua watu 1400, basi ndiyo Israel iwe sababu ya hao Mayahudi kuua maelfu ya watoto na akina mama wa Kipalestina!!

Na unaifahamu sababu kuu hasa ya hao Hamas kuivamaia hiyo Israel? Au ndiyo wenzangu na mimi bendera fuata upepo?
 
Hujo jamaa ni religious fanatic anapenda kujitoa ufahamu kwenye masuala ya kidini, wakati inajulikana kuwa wewe ni mkatoliki na watu wa dini mbalimbali wamelaani ukatili unaoendelea kufanywa dhidi ya wakazi wa ghaza.
Kuwa mkatoliki hakuzuii mtu kuwa mdini. Kama Hamasi walihamua kumaliza grievances zao kwa njia walioitumia na kujificha katikati ya raia, mnataka Israel ifanyeje? Aljazeera na radio imani wanafablicate sana habari za Ghaza, kuweni waangalifu. Na ni kwanini jamii yote ya kiislamu ndiyo inapiga kelele saana kama hakuna udini ktk jambo hili?
 
Hivi huu unafiki wa watoto na wanawake mbona mnalishikia bango sana kwa wapalestina je wale watoto wa kiyahudi na wanawake wakiyahudi waliouawa na Hamas hamkuwaona? Au wayahudi sio watu ni mbuzi wauawe tu ila wapalestina ndio dunia inawaona

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…