Mimi Mwarabu na sielewi kwanini ulimwengu hauwezi kukubali maumivu ya Kiyahudi

Mimi Mwarabu na sielewi kwanini ulimwengu hauwezi kukubali maumivu ya Kiyahudi

Sawa, Sasa niambie, hao Wayaud wakaishi wapi kama pale hawatakiwi? Tatizo ni Waarabu kutokutaka amani kwa kujiona wao ndiyo wenye haki ktk eneo lile, na mpango wao wa kutaka kuwaangamiza Waisrael wote. Hakutapatikana amani kama kila upande utashikilia msimamo wake.

Swala la mataifa ya magharibi kuwa upande wa Israel sioni tatizo kama ambavyo mataifa ya kiarabu na karibu Waislam wote kote duniani wapo upande wa Palestina.
Suluhu hapo ni UN kuligawa tu hilo eneo ili Mataifa mawili huru yatokee kama ilivyokuwa imependekezwa hapo awali. Yaani Taifa huru la Israel, na pia Taifa huru la Palestina.

Kinyume na hapo, watu wasio na hatia wataendelea kuuwawa.
 
Na hii hesabu ni Kwa miaka miwili pamoja na mashambulizi makubwa sana tunayoyaona pale, lkn Israel siku 30 washakuja zaidi ya raia 12 elfu.

Your comment plz
Ni kwa sababu Hamas hutumia raia kama kinga yao. Unakuwa na maghala ya silaha kwenye tunnels chini ya hospitali au unarusha kombora kutokea shule ya watoto. Likinaswa na rada za Israeli nao wanajibu kufuata lilikotoka shabaash! Kumbe ni hospitalini au shule ya watoto. Nani wa kulaumiwa hapo? Ingekuwa wewe ndiyo Israeli na umevamiwa; na unanyeshewa na mvua ya makombora, drones na maroketi kutokea Gaza ungefanyeje katika muktadha huu?

Isitoshe hii namba kubwa ya vifo vya raia inatolewa na Hamas wenyewe ili kujaribu kuamsha hasira katika ulimwengu wa Kiislamu. Ni namba ambayo haiwezi kuthibitishwa.

Na Hamas walitegemea nini walipofanya mashambulizi yale? Kwamba Israeli watachekelea tu? Kwamba nchi za Kiarabu zitakuja kuwasaidia eneo zima liwake moto? What was their endgame? Kulalamika na kulia lia?

IMG_20231111_082703.jpg
IMG_20231111_082802.jpg
IMG_20231111_082634.jpg
 
Nani alinzisha Vita? Wale waliouwawa na Hamasi walikuwa Mbwa? Hata Mtanzania Mwenzetu Hamas wamemua bila Huruma wakat yeye siyo Mhayahudi. Ogopa Watu wanaovaa Mabovu na kukilipia katikati ya Watu wasio na hatia wala Silaha. Hamas
Mkuu,
Kujaribu kuelimisha watetezi wa magaidi ni kupoteza muda. Ama ni wajinga sana au wamepumbazwa na dini yao
 
Yeah, nakuunga mkono sana.. ndomaana ukichunguza vifo vingi vitokanavyo na vita ya Ukraine ni wanajeshi raia wachache sana.

Lkn Israel haijamaliza hata siku 40 washakuja raia zaidi ya elfu kumi na mbili.
Mkuu kwahiyo yale mabomu Kiev na Donesnk yanaua wanajeshi tu
 
Yeah, nakuunga mkono sana.. ndomaana ukichunguza vifo vingi vitokanavyo na vita ya Ukraine ni wanajeshi raia wachache sana.

Lkn Israel haijamaliza hata siku 40 washakuja raia zaidi ya elfu kumi na mbili.
Ukraine wanapigana kiume peupe huko kwenye uwanja wa vita. Waambie wajichanganye wajaribu kurusha makombora kutokea mahospitalini, mashuleni na makazi ya raia kama wanavyofanya Hamas. Putin akinyesha mvua ya makombora kama ilivyo kawaida yake bila shaka raia wengi sana watakufa.

Hata Hamas wangekuwa hawatumii raia kama kinga yao, collateral damage isingekuwa kubwa namna hiyo.

Note: Na namba hiyo ya vifo vya raia inatolewa na Hamas wenyewe kwa lengo la kuamsha chuki. Wachambuzi wengi wanaamini siyo namba ya kweli!
 
Unaniuliza mimi kwani ndiye niliyewashawishi hao wananchi kuichagua hiyo Hamas kutawala Gaza!!

Kubali tu njia inayotumiwa na hao Mayahudi kupambana na Hamas ni ya hovyo.
Ila njia ya Hamas ni sahii.
NB:WAISLAMU BHANA NA MINDSET YA QUR'AN TOWARDS JEWS 🤣🤣
 
Wapalestina hawaanzishi uchokozi! Wachokozi ni hao Mayahudi waliowaondoa hao Wapalestina kwenye maeneo yao, na kuwageuza kuwa wakimbizi ndani ya maeneo waliyokuwa wanaishi kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita.
Maeneo yao!!!
Kwani wale makhalifa wa kiislamu walipowaondoa wayahudi,,,,haikua uchokozi.
NB:WAISLAMU NA KUPOTOSHA HISTORIA YA JEWS,,KISA WAMESHINDWA KUWAGEUZA WAISLAMU KAMA WALIVYOFANYA KWA BANTU,S NA MOOR NA KURDS NA ALBAN,S NA BOSN,S
 
Hao watoto wanatakiwa kuwaondoa pale Hamas wanapoanzisha uchokozi dhidi ya Israel, ili jamaa wakianza kuwatandika, wasitumie kigezo cha kuua watoto, hao watoto simply wanauawa na ndugu zao wenyewe kwa uchokozi wao dhidi ya Israel.

Kuanzisha uchokozi halafu kwenda kujificha kwa watoto kama ngao dhidi ya mashambulizi, kunaonesha vile Hamas walivyo wajinga, wabinafsi, na makatili wasio na huruma hata kwa watu wao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hamasi NI magaidi, na gaidi Hana mbadala wa adhabu isipokuwa kuwahishwa Kwa Alla, wakaungane na hilo shetani kuu, eti watapata mabikra 72, sasa wanaogopa nini??? si wafe wote wawahi maisha Yao ya kufikirika kuliko kutulazimisha sisi eti kwenda na Kwa kutulingania imani!!! hii sio dini ni ushetani mtupu!!
 
Acha bangi wewe gaidi
Hamasi NI magaidi, na gaidi Hana mbadala wa adhabu isipokuwa kuwahishwa Kwa Alla, wakaungane na hilo shetani kuu, eti watapata mabikra 72, sasa wanaogopa nini??? si wafe wote wawahi maisha Yao ya kufikirika kuliko kutulazimisha sisi eti kwenda na Kwa kutulingania imani!!! hii sio dini ni ushetani mtupu!!
Haya ndiyo madhara sasa ya kunywa pombe kali ya gongo, huku ukiwa na njaa. Ona imekupanda kichwani.
 
Mayahudi ni majitu makatili tu. Na ndiyo maana hayaoni aibu kuua wanawake na watoto mchana kweupe kwa mabomu, kwa kigezo cha kushambuliwa na Hamas.
Yote kwa yote, waarabu na wenyewe hawapendani, watu wameambiwa mapema kabisa ondokeni huko kaskazini ya gaza makombora yataanza kurushwa lakini wamejazana tu huko. Nashangaa hata nchi jirani za waarubu hawawapi hifadhi watu wanaokimbia vita....Egypt mpaka uwe na dual passport ndiyo unaingia. Kimsingi hivi vifo vingi vingezuilika kama wangekimbia maeneo ya kitovu cha vita....wangekufa ila siyo kwa kiwango hiki...
 
Back
Top Bottom