myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Muaraba yuko mkristo, yuko mpagani pia.Mkuu unajua tatizo la waislamu ni kigeugeu
Utaukana vipi uarabu ndani ya uislamu.
Wale wa Musa waliotoka Misri wameenda wapi ?Hii nayo ni hadithi....
Wayahudi Mussa aliowatoa Misri sio hawa wa sasa..
🤣🤣🤣🤣😂 Mkuu mpaka mabango ya misikiti yameandikwa kiarabu na sio kihaya kule kwetu Katoro.Nishakwambia hujui...usilazimishe.
Mkuu unahama mada sasa.Muaraba yuko mkristo, yuko mpagani pia.
Na muarabu pia hujifunza Quran...wako Waafrika wanafundisha waarabu Quran.
Hiyo Quran imeandikwa kigogo mkuu.Muaraba yuko mkristo, yuko mpagani pia.
Na muarabu pia hujifunza Quran...wako Waafrika wanafundisha waarabu Quran.
Mkuu kila kitu katika uislamu kimeasisiwa kiarabu.Lugha...kumbe tatizo ni lugha🤣🤣
Mfano somo la biology limeandikwa kiingereza, anaejua kiingereza atalijua??
Mpaka asome...Quran ni ELIMU ila inetumia lugha..
Wapo, wenyewe hawataki vita...Wale wa Musa waliotoka Misri wameenda wapi ?
Qur'an sio elimu bali ni hadithi za mapokeo ya adithi za kale za kufikirika na za utamaduni wa kiarabu.Lugha...kumbe tatizo ni lugha🤣🤣
Mfano somo la biology limeandikwa kiingereza, anaejua kiingereza atalijua??
Mpaka asome...Quran ni ELIMU ila imetumia lugha..ukiondoa waarabu wote, uislam utakuwepo.
Wapo wapi ? Nchi gani wapo ?Wapo, wenyewe hawataki vita...
🤣🤣🤣😂😂JEW,S CAN'T TRUST MUSLIMS AND MUSLIM HATE JEW'SWapo, wenyewe hawataki vita...
Unaweza kuitwa jina lolote na ukawa muislam..Mkuu kila kitu katika uislamu kimeasisiwa kiarabu.
Au na hili unakataa.
Mpaka majina ya waislamu wanachukua majina ya kiarabu
Hujaona wakiandamana..Wapo wapi ? Nchi gani wapo ?
Una hoja mkuu...ila kwanini wapalestina walikataa kuunda taifa lao pembeni ya Israel kabla ya mwaka 1967?.....Kuna vitu unasoma mpaka unajiuliza ujinga wa mwandishi.
Swala la Israel na waarabu, ni ideological war; hakuna tofauti kubwa sana ya Rwanda kati ya Hutu na Tutsi.
21% ya Jews ni waarabu; bado kuna millions ya Jews wanaoishi Iran, Morocco pekee ( ina karibu 1 million Arab Jews) jumlisha Middle East yote ina Jews communities (ambao ni waarabu).
Kuna Arabs Jews wengi ambao awajaenda Israel wakienda waarabu kundi zima la Middle East hapo Israel si ajabu Arab Jews ndio wakawa majority in Israel.
Maana yake nini huo sio mgogoro wa race, ni mgogoro wa itikadi deep down, na jitihada za western supremacy ya kuchukua hilo eneo kuwapa white Jews power.
Jews na Muslim wanamgogoro wao zaidi ya miaka 2000, pamoja na hayo bila ya wazungu waliweza kuheshimiana na kuishi pamoja ndani ya Middle East kwa miaka yote Mpaka Hitler na maeneo mengine ya Europe walipoanza kuwafanyia fujo white Jews na kusababisha warudi Israel tena kwa kuomba ‘Ottoman Empire’ iwapokee (watch ‘Lawrence of Arabia’ the movie).
Moreover mater of fact Arab is the widely spoken language in Israel; japo wanajirabu kupotosha kusema ni Hebrew.
Hamas tactics zao ni ovyo (mengine wanajitakia); Ila behind this mess there’s a white man.
Hiyo ni vita inayosukumwa na ideology kuliko race, na mkakati wa mzungu kwenye ku dominate dunia.
Ni liafrika lijinga sana kama MK254 hili jamaa ni la hovyo na jinga kweli linawoza shabikia haya mambo ya mabeberu yaani zinga moja la fala sijapata kuona, if it was up to me ningelipa ban JF.
Mkuu asilimia 95% ya waislamu wana jina moja la kiarabu.Unaweza kuitwa jina lolote na ukawa muislam..
Ndio makosa waliyofanyaUna hoja mkuu...ila kwanini wapalestina walikataa kuunda taifa lao pembeni ya Israel kabla ya mwaka 1967?.....
au labda walihofia Israel ingejitanua tu bila kujali mipaka yao ?..... ila walijikita kupigana kuifuta Israel badala yake wamepoteza hata kile kidogo walichoachiwa.
zitto junior Mathanzua Bams
Ila tambua Christianity chanzo chake ni Jewish religion.....tena Christianity imeanza miaka mingi sana kabla ya Islamic.Akili zako sio nzuri Yakob ni Yakubu kwa waislamu na wote ni zao la mzazi mmoja (ndio maana wote ni sawa kuoa cousins). It’s a Middle Eastern culture issue more than religion.
Jews na waislamu wote awali mnyama asie piga chafya; na ndio maana Jewish anaweza kula nyama iliyochinjwa na muislamu tu lakini aendi bucha ya mkristo.
Taratibu za Jews na Islam zinafanana sana kushinda Christianity.
Wengi wenu hamuelewi what Jewish religion is about. It’s close to Islam kuliko Christianity.
Mkuu kuhusu disapora wa Morocco umetudanganya kipropaganda,labda ungesema minorty Jew's in arab country's.Kuna vitu unasoma mpaka unajiuliza ujinga wa mwandishi.
Swala la Israel na waarabu, ni ideological war; hakuna tofauti kubwa sana ya Rwanda kati ya Hutu na Tutsi.
21% ya Jews ni waarabu; bado kuna millions ya Jews wanaoishi Iran, Morocco pekee ( ina karibu 1 million Arab Jews) jumlisha Middle East yote ina Jews communities (ambao ni waarabu).
Kuna Arabs Jews wengi ambao awajaenda Israel wakienda waarabu kundi zima la Middle East hapo Israel si ajabu Arab Jews ndio wakawa majority in Israel.
Maana yake nini huo sio mgogoro wa race, ni mgogoro wa itikadi deep down, na jitihada za western supremacy ya kuchukua hilo eneo kuwapa white Jews power.
Jews na Muslim wanamgogoro wao zaidi ya miaka 2000, pamoja na hayo bila ya wazungu waliweza kuheshimiana na kuishi pamoja ndani ya Middle East kwa miaka yote Mpaka Hitler na maeneo mengine ya Europe walipoanza kuwafanyia fujo white Jews na kusababisha warudi Israel tena kwa kuomba ‘Ottoman Empire’ iwapokee (watch ‘Lawrence of Arabia’ the movie).
Moreover mater of fact Arab is the widely spoken language in Israel; japo wanajirabu kupotosha kusema ni Hebrew.
Hamas tactics zao ni ovyo (mengine wanajitakia); Ila behind this mess there’s a white man.
Hiyo ni vita inayosukumwa na ideology kuliko race, na mkakati wa mzungu kwenye ku dominate dunia.
Ni liafrika lijinga sana kama MK254 hili jamaa ni la hovyo na jinga kweli linawoza shabikia haya mambo ya mabeberu yaani zinga moja la fala sijapata kuona, if it was up to me ningelipa ban JF.
Hilo liliamuliwa toka kitambo sana, ila wapalestina walikataa kabisa wakajikita kupambana kuifuta Israel, hili limewagharimu mpaka leo.Suluhu hapo ni UN kuligawa tu hilo eneo ili Mataifa mawili huru yatokee kama ilivyokuwa imependekezwa hapo awali. Yaani Taifa huru la Israel, na pia Taifa huru la Palestina.
Kinyume na hapo, watu wasio na hatia wataendelea kuuwawa.
Mkuu jew,s hawafanani na waislamu.Akili zako sio nzuri Yakob ni Yakubu kwa waislamu na wote ni zao la mzazi mmoja (ndio maana wote ni sawa kuoa cousins). It’s a Middle Eastern culture issue more than religion.
Jews na waislamu wote awali mnyama asie piga chafya; na ndio maana Jewish anaweza kula nyama iliyochinjwa na muislamu tu lakini aendi bucha ya mkristo.
Taratibu za Jews na Islam zinafanana sana kushinda Christianity.
Wengi wenu hamuelewi what Jewish religion is about. It’s close to Islam kuliko Christianity.
Abrahamic religion zote msingi wake ni tales za Middle East, tofauti yao ni kwenye ku formalise tu hivyo vitabu nani kaanza.Ila tambua Christianity chanzo chake ni Jewish religion.....tena Christianity imeanza miaka mingi sana kabla ya Islamic.
Ila tu Christianity ilipigwa Vita Sana na Wayahudi hapo mwanzo hivyo ikaletwa kwa wasio Wayahudi na wakaipokea na tangu hapo ikasambaa kwa njia nyingi.
hata watawala wa Kirumi baadae waliingia huko (japo mwanzo waliipinga sana hata kuua wahubiri wa mwanzo wa kikristo) ila baadae walijiunga huko kwa malengo yao ya kisiasa na kuieneza kwa njia ya umwagaji damu.
zitto junior Mathanzua