Mimi na Joannah tunatarajia kufungua Kanisa hivi karibuni ili kukabiliana na hii hali ya Uchumi

Mimi na Joannah tunatarajia kufungua Kanisa hivi karibuni ili kukabiliana na hii hali ya Uchumi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mdogo wangu coca mfikishie ujumbe huyo joanya aache kunifatilia makalion
Nishamwambia sitaki shobo naye
Mimi Sina mbo...ohh useme nitamkaza
Aheshimu mipaka
Pia sio msagaj useme ntamblendah
 
Mdogo wangu coca mfikishie ujumbe huyo joanya aache kunifatilia makalion
Nishamwambia sitaki shobo naye
Mimi Sina mbo...ohh useme nitamkaza
Aheshimu mipaka
Pia sio msagaj useme ntamblendah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada kwan mbna ugomvi gani nyie?
Mbna ni amani amani.
 
Unataka kufungua kanisa na ombaomba anayeshinda jf kutafuta mabwana wa kumtumia buku la vocha?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unafel wapi bwashee
Huyo ni mwajuma ndalandefu
Hana maisha[emoji1787][emoji1787]
Duuuh
 
Baba mchungaji ana gubu ndugu wa kikeni katunyima mwaliko hata sijapentraaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hajui km sisi tukipika majungu mke hapati we mwache ajifarague hatujui wazaramo tuna nongwa [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] MC wa buree kamkosaa, ngoja akapigwe 7M na Ma MC uchwaraaa.
 
Nimeoteshwa na Roho Mtakatifu kwamba kuna mshefa mmoja ana mpango wa kutoa sadaka kubwa.

Mshefa yeyote aliyesikia Roho Mtakatifu akimtia nguvu kutuwezesha kufanya kazi ya Bwana ajue tuko pamoja naye na Bwana atambariki mara sabini na saba pale atakapotoa pazidishiwe, biashara zake zifunguliwe, mahusiano yake yachanue, mpaka Mama Samia atengeneze njia zake ziwe zimenyooka kuliko za Doto Biteko.

Sema Haleluyaaa kama umeupata upako wa Bwana ndani ya Roho yako!

Halafu nicheki PM kwa namba ya M-Pesa ukamilishe muamala wa sadaka!

Bwana akubariki!!

(S)
 
Nimeoteshwa na Roho Mtakatifu kwamba kuna mshefa mmoja ana mpango wa kutoa sadaka kubwa.

Mshefa yeyote aliyesikia Roho Mtakatifu akimtia nguvu kutuwezesha kufanya kazi ya Bwana ajue tuko pamoja naye na Bwana atambariki mara sabini na saba pale atakapotoa pazidishiwe, biashara zake zifunguliwe, mahusiano yake yachanue, mpaka Mama Samia atengeneze njia zake ziwe zimenyooka kuliko za Doto Biteko.

Sema Haleluyaaa kama umeupata upako wa Bwana ndani ya Roho yako!

Halafu nicheki PM kwa namba ya M-Pesa ukamilishe muamala wa sadaka!

Bwana akubariki!!

(S)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee shem sisi passport tushaandaa, vipi trip enyewe lini?

A
Lamomy
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee shem sisi passport tushaandaa, vipi trip enyewe lini?

A
Lamomy
Huyo shem miyeyusho jau tupu hapo!! Me nasubiri aniweke kwa yule boss wa PSG tuinunue Simba Moh timu ishamshinda lkn holaaa!!
Anatuchomesha mahindi tu!! 😂😂😂
 
Huyo shem miyeyusho jau tupu hapo!! Me nasubiri aniweke kwa yule boss wa PSG tuinunue Simba Moh timu ishamshinda lkn holaaa!!
Anatuchomesha mahindi tu!! [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa km mwehuu, woiiiih
 
Napendekeza huduma zetu, ni pamoja na kuombea wanawake wapate Mumbai, watoto, vijana wapate ajira, tutakuwa, na, perfume za, kupulizia, kwenye saloon, na, maduka, ili kuondoa, pepo wabaya na kuvutia wateja,kuondoa roho za, kukataliwa na, kukosa, mikopo kwa vijana wanaoenda vyuoni!
Kila ijumaa tutakuwa tunatoa mafuta special kwa bodaboda ili wapate wateja, Lita 10000!
Kwa, wakulima tutakuwa na mbegu special za kila zao kutoka Milima ya, sayuni Israel!
 
Back
Top Bottom