β’ Dini inazuia nini kwenye huo muunganiko wenu?Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee
Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake
Ahsanteni.
Na yapo mazee mengi majinga yamewakana watoto wao sababu ya dini tuHivi kumbe siyo kila member wa JF ni GT, yani mwanaume na akili zako unaamua kuvunja ndoa kisa dini za watu weupe?
Nakuhakikishia mtoa mada ukiendelea na akili hizo, leo utamuacha mkeo kisa dini, kesho utamkataa mtoto wako kisa kagoma kufuata dini yako.
Ulioa wapi we mzee? Hii tabia ya kuburuza mwanamke kutoka mtaa jirani na kuishi nae ukimchoka unambwaga afu tunaita ni ndoa ipigwe marufukuKiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee
Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake
Ahsanteni.
Anaachanaalieelewa
Kama hawana ni basi kila mtu aondoke na mav*zi yake, akaanzishe maisha yake huko dunianiKama Wana izo mali
Km hawana
Siku ukikua utakuja kusoma upumbavu wako hapa. Katika yote ambayo umewaza ni ngono tu, ngono ni sehemu ndogo sana kwenye ndoa.Ni upumbavu wa hali ya juu waafrica kuacha kuunganisha vikojoleo kisa dini za kuletwa kwa majahazi .
Samahan mtoa mada lakin[emoji120]
Kikubwa ni "AMANI YA MOYO WAKE.Hivi kumbe siyo kila member wa JF ni GT, yani mwanaume na akili zako unaamua kuvunja ndoa kisa dini za watu weupe?
Nakuhakikishia mtoa mada ukiendelea na akili hizo, leo utamuacha mkeo kisa dini, kesho utamkataa mtoto wako kisa kagoma kufuata dini yako.
Imani ni kitu muhimβ’ Dini inazuia nini kwenye huo muunganiko wenu?
β’ Lengo lako ni abadili dini tu, au unataka aanze kujifunza na kuwa committed kwa 100%?
β’ Vipi kama akija kwenye dini Yako, lakini asiyape uzito mafundisho yake?
Asante kwa jibu zuri mrembo. Hapo unakuwa umemsaidia kujibu swali langu la kwanza.Imani ni kitu muhim
Kila familia inayoelewa inachunga sana hili!
Fuatikia Wana wa Israel walivyopewa warning na Mungu kuhusu kuoana na watu wa Imani tofauti?
So ni kitu kipo,Kila mmoja na anavyoamini, anavyotaka kizazi chake kileleweje
Ili ni specific for you:So ni kitu kipo,Kila mmoja na anavyoamini, anavyotaka kizazi chake kileleweje
Asante kwa ushauri mkuu joniπSiku ukikua utakuja kusoma upumbavu wako hapa. Katika yote ambayo umewaza ni ngono tu, ngono ni sehemu ndogo sana kwenye ndoa.
Mwanaume ni kichwa cha familia, kichwa kinapotaka kufanywa mkia hapo hakuna ndoa
mwambie achane tu tutashonaAnaachana
πππππKataa Ndoa wanafurahi kuona kampeni yao inazaa matunda.
View attachment 2876583
KaziKwelikweli/JobTrueTrue
Okay!Ili ni specific for you:
"Kwa ajili ya kizazi chako, haupo tayari kuolewa na asiyekuwa mlokole au it's okay yeyote akija as long as ni mkristo?"
We Jamaa ni kyande ππ€£Badilishaneni jezi kama ishara ya fair play baada ya dakika 90