Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Yaani Ume nitaja Mimi kabisaππ, dah ta ta ta πππOkay!
No nikisema Imani siongeleo ulokole!
Naongekea "Christianity"...
Kuna walokole na Kuna wanaojiita walokole!
Ss sihitaji matatizo ,sbb nawajua vzr!π
Nahitaji Ambae tunakiri, Imani Moja,tuonaongea lugha moja,watt ,uzao , generation ijue Mungu wa baba zao sio kuyumbayumba Leo kule kesho huku!
Refer; Ibrahim,isaka yakobo mok Musa...
We nae hujakua!Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee
Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake
Ahsanteni.
Endelea kujitia moyo Kwa Bwana.Yaani Ume nitaja Mimi kabisaππ, dah ta ta ta πππ
Ni hivi waliahidiana akiolewa abadili dinu mke kakataaalieelewa
Tupooo na maisha yanasonga. Namshangaa mleta mada.Na tuliokubaliana kilamtu na imani yake mtupe maneno mafupi
Asanteniπππ
Safi sana, nataka uje unipe maombi special mama mchungaji.Endelea kujitia moyo Kwa Bwana.
Kesho tutakua daimond jubilee kuanzia sa sita mpk sa kumi na mbili jioni!
Karibu
Mwingine Hamas mwingine IDF, acha watengane kabla hawajaanza kuzichapa.Hivi kumbe siyo kila member wa JF ni GT, yani mwanaume na akili zako unaamua kuvunja ndoa kisa dini za watu weupe?
Nakuhakikishia mtoa mada ukiendelea na akili hizo, leo utamuacha mkeo kisa dini, kesho utamkataa mtoto wako kisa kagoma kufuata dini yako.
We hupajua daimond jubilee?Safi sana, nataka uje unipe maombi special mama mchungaji.
πSasa nita pajuaje bila maelekezo mazuriππ
Ni imani tofauti au kabila tofauti?Imani ni kitu muhim
Kila familia inayoelewa inachunga sana hili!
Fuatikia Wana wa Israel walivyopewa warning na Mungu kuhusu kuoana na watu wa Imani tofauti?
So ni kitu kipo,Kila mmoja na anavyoamini, anavyotaka kizazi chake kileleweje
Mambo ya kubadilisha IMANI ya MTU kwa sababu ya ndoa siyo vizuri mkuu, kama alikuwa tiyari kwa Hilo angelibadili majina kabisa kabla ya kuolewa. Hapo unachotafuta kwake sasa ni ugomvi Tu na inaonekana hiyo ndoa ulimlazimisha maana hakuwa tiyari na huenda hakupendi pia. Angekupenda wala hayo yasingetokea. Tafuta wa Imani yako muoeKiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee
Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake
Ahsanteni.
Hahaaa duh ....Ni imani tofauti au kabila tofauti?
Kulikuwa na haja gani Mungu kuwaumba hao watu ambao hataki waoane na wana waisrael? C angewaumba wa israel tu ieleweke
Ohh, si una jua niko nanjilinjii.We hupajua daimond jubilee?
Basi ulizia Kwa watu wa daslam watakuelekeza π
Hayanaga muongozo...
HakiiiikaHayanaga muongozo...