Sawa mkuunataka dunia nzima ijue namna gani nampenda mke wangu ,nataka ninunue insta account yenye followers wengi nioneshe namna gani nampenda mke wangu
nampenda mpaka natamani kulia
Wewe jamaa mpaka wakut**bee huyo mke wako ndio akili itakukaa sawa.nataka dunia nzima ijue namna gani nampenda mke wangu ,nataka ninunue insta account yenye followers wengi nioneshe namna gani nampenda mke wangu
nampenda mpaka natamani kulia
salamabichFaki yuu
Halafu umedamshiheee