Mimi na mke wangu tupo bega Kwa bega mbali na maisha magumu tunayopitia na upendo wetu umeongezeka maradufu

Juzi hapa Kuna dada kakimbia watoto wake kaenda Mwanza.Sasa hivi habari zimefika anapata tabu anaomba masamaha.

Dereva wa bajaji alimdanganya.
 
Pole bro na hongera kwa kuwa na mke mvumilivu na muelewa. Maisha ya ups & downs ipo siku utakuwa na uchumi imara, tupambane kukata tamaa mwiko
Kukata tamaa ni laana mkuu.

Naskiliza wasafi FM kupitia simu Yake ya kitochi. huku nikiongea na nyinyi ndugu zangu
 
USIPENDE KUMPA NAFASI SHETANI KWA KUTANGAZA MAFANIKIO YAKO KWA MAWAKALA WA SHETANI{WATU NI WABAYA SANA KULIKO WANADAMU}
HAUTANIELEWA LEO..ENDELEA KUSHARE POST ZAKO MAENEO MBALI MBALI KUONYESHA MAFANIKIO YAKO NDO UTAKUJA NIELEWA.
WATU NI WABAYA SANA TENA SANA.
 
Nimekuelewa mkuu.Shukrani sana.
Sio kila MTU hupenda vile tunavyoishi mkuu.

Watu ni waajabu sana wana maneno ya kukatisha Tamaa.
Cc diamond platinums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…