Mimi naamini kila dhambi lazima uilipie

Mimi naamini kila dhambi lazima uilipie

Mi naamini kila dhambi lazima uilipie.....ulipaji unaweza chelewa ila lazima muda ufike uwajibike.

Usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio.... Usipende kuvuruga amani ya moyo ya MTU Mwingine kwa kumkomoa tu huku wewe ukiendelea kuenjoy.

Unadanganya kibiashara, kifedha, kifamilia, kijamii na kimapenz....pesa unakopa hulipi, unafanya biashara na MTU unadhurumu, unadanganyia pipi na kutishia visu watoto unawabaka, unamwahidi kumwoa unamwachia mimba unasepa, unaua wazazi kwa tamaa za Mali...

Unatelekeza familia sababu ya anasa.....unamwaminisha MTU mpo safari moja kumbe umeaminisha wengi-wastage of time(hili limenipata but time will tell).......Karma is real tusipojirekebisha wapendwa.
Karma is Bitch
Karma is real mazeee
 
wakuu kila mtu ana maex kla mtu anaoaliowakosea kw neno la mapenz hapa ndy panatabu....!! muhmu tujfunze kuombana smahan tunapokosea na tusameheane pia mung atatusameh, ukiamua kuvunja mahsuiano vunjen kw amani bas svyo hi karma itatubatua wote wakuu
 
Hayo maneno tu mm shemeji akiwa mzur nampitia tu embu kwanza njoo selfika nione uno lako nilale vizur nikapige nyeto mambo ya kutishana mkome
Si kajilegeza mwenyewe wee pita nae tu kwani sh ngapi banaaaa😎😎😁!

Pepo trokkkaaaa Sheendwaaaaa !
Na mwaka huu jamaa zisipokuua sijui 😁!
 
Hakika tutajua hukohuko tu, japo napiga picha hata sipati majibu asee.🤣
Mara unaambiwa!

" We Eroni pita hukuuu🔥🔥🔥" 😁😁 lol! Itajulikana hukohuko bana tusitishane
 
Back
Top Bottom