Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Wewe inakufaa shingapiHahah kuna mmoja anajiita Cute**** ila naskia ni mfupi amekomaa mpaka jamaa akaona pesa inayomfaa ni 7800.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huendi mbinguni hahahhahaHahah kuna mmoja anajiita Cute**** ila naskia ni mfupi amekomaa mpaka jamaa akaona pesa inayomfaa ni 7800.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtazamo wangu sio watu wote warembo ila watu wote wako timilifu katika mapungufu yao kulingana na walivyoumbwa. Ndio hapo tutasema muumbaji hakosei kwa maana atakae mnyima sura ya kushangaza watu atampa kingine.Kila mtu ni mrembo..
Ndio maana ukazaliwa, ikimaanisha aliyekuumba kaona umeumbwa ukaumbika. Bas tu ni percepciΓ³n zetu tu
Wewe tulia, kuna kesi imeletwa hapa na sky kuwa unaishi kwa Mama yako!Na mijusi pia wanayo
Itakuwa alimaanisha wapo kama mche wa sabuniUnamaanisha nyuma hamna tako na mbele hamna tumbo?
AstaghafirulilahWewe tulia, kuna kesi imeletwa hapa na sky kuwa unaishi kwa Mama yako!
[emoji4][emoji4][emoji4]Astaghafirulilah
Mtumeee![emoji4][emoji4][emoji4] View attachment 1328492
Maisha ya shemeji yetu ya kuishi ukweni yanamshinda halafu wewe unaranda randa tu hapa na kujimwambafy!Mtumeee!
Duhwe bado mgeni sana humu,soma mchezo kwanza utalizwa achana nahizo avator!Tushawakimbia sana maeneo ya appointment,unatoa na betri kabisa...mwanamke hujui mbele wapi wala nyuma ni wapi
Kuna mtu atakuwa ka hack akaunti yake... wallah nakuapiaMaisha ya shemeji yetu ya kuishi ukweni yanamshinda halafu wewe unaranda randa tu hapa na kujimwambafy!
Dah πππHahah kuna mmoja anajiita Cute**** ila naskia ni mfupi amekomaa mpaka jamaa akaona pesa inayomfaa ni 7800.
Sent using Jamii Forums mobile app