MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Jupiter gani planet au kuna mtaa unaitwa Jupiter dalisalama kama ni planet kwa taarifa ya chombo cha Voyager 1 kilichorushwa na NASA September 5, 1977 kujifunza sayari za mbali ikiwemo Jupiter taarifa iliopatikana hakuna uhai wala mrembo yeyote zaidi ya earth na kimefanya kazi zaidi ya miaka 42
Be serious madam huyo mdada ulimuona wapi au picha yake umeichomoa wapi [emoji3] ni mzuri kwakweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Be serious madam huyo mdada ulimuona wapi au picha yake umeichomoa wapi [emoji3] ni mzuri kwakweli
Anapatikana Jupiter [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app