Mimi nahisi Ben Pol anajifosi ku-date na Ebitoke

okoyoko

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
2,664
Reaction score
3,641
Hi guys,

Bcoz of unknown reasons mm nahis Ben pol kama vile hayupo comfortable ku-date na ebitoke sababu nikiangalia body language ya benpol haiakisi kufuraishwa na uhusiano wake na ebitoke, sijui benpol kapewa masharti au...Yani benpol na umaarufu wote ule, wadada woote wazuri wa mjini kawaacha katoka na ebitoke, na ninavyofahamu sisi wanaume tunavopenda sifa ya kutoka na madem wazuri, au benpol ni kwamba domo zege au anapigwaga vibuti na madem wazur nn.

Maybe I'm just wrong, au kuna mwingine humu jaman mwenye mtizamo kama wangu..
 
Ni vibaya saana mwanaume kutongozwa halafu ukatae. Toa ushirikiano japo kidogo.

Ni sawa na mshikaji anajipendekeza kwako halafu unamkimbia.
Hapana si vibaya, kama unaona Hisia zako za mahaba juu yake ziko mbali au Moyo hauridhiki kwanini ukubali kuwa naye...?

Huoni kama utaumiza hisia zake mbeleni...?

Mtu bora kuwa muwazi ili kumuepesha na mengi.
 
Hapana si vibaya, kama unaona Hisia zako za mahaba juu yake ziko mbali au Moyo hauridhiki kwanini ukubali kuwa naye...?

Huoni kama utaumiza hisia zake mbeleni...?

Mtu bora kuwa muwazi ili kumuepesha na mengi.
Mpe ma-hope na yeye ajione binadamu baadae kistaarabu atajiongeza.

Ni sawa na wanawake tunavyowatongoza kujibiwa shortcut ni mbaya ila mtu ukienda siku ya kwanza akakupokea ya pili akakuambia anamtu unafarijika.

BTW, anything can be anything when anything happen.
 
Ebitoke anapandishwa awe ndio star wa kundi lao la timamu comedy baada ya mkaliwenu kujiondoa so anatumia nguvu zote msishangae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…