Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

Naomba namba zake nimpokee akija dar!
 
Hacheni mambo ya kitoto, kwanza ulimkuta na bikira?
Unadhani simu yake hauwezi kuwa busy kwa sababu yako, usiweke kwenye mazingira ya kujiumiza moyo kwa mambo usiyo na uhakika nayo.
Ukiwa na mke/mpenzi jipange kisaikolojia kukubali kitakachotokea mbele ya safari.
 
mkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina

Huu ushauri bila kuwa na kichwa kinachowaza hela hautejelezeki zaidi utakuwa msumari wa moto kwenye kidonda kibichi.
 
Ulimkuta Bikra?we akija mgegede kibabe acha wivu mkomoe kwa kumpiga shoo ya kibabe!
 
Unamwonea wivu hawara? Kwani umemwoa mpaka uumie? Papuchi kagawa yeye, wewe unaumia moyo inaingia akilini kweli? Fanya kazi tafuta pesa acha kulialia na zinaa.
 
Sina uhakika kama umechapiwa ama lah, ila nina uhakika unastahili kuchapiwa. Sababu uliyotoa kuwa inakupa wasi wasi inaonyesha kutojiamini. Subiri sasa akakutane na wazee wa viduku, skinny colorful pants, na "ubuyu"...lazima usare arif.
 
Kuchapiwa ni siri za ndani! Uchune tu au na wewe tafuta mnyonge ummegee
 
Digital Generation bwana... mara ijayo basi mtrack through her cell phone. Kuna apps ambazo zinaweza ku-triangulate location yake mahala popote alipo. Mpaka kitandani kwa mchepuo wake yaani
 
mkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina
Mmmngh!…miss chaga
 
Akija atakueleza sababu ya kuzima cm.
Hapa watakupa majibu ya mzaha mana hakuna anayejua ukweli.
 
Haya mambo ya kufuatiliana haya hata kama mtu hana nia mbaya utaishia kuumia tu.
 
Umechapiwa bwa mdogo. Wanasemaga ni siri ya ndani hiyo. Piga moyo konde maisha yasonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…