miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
utatumia kwa matumizi muhimu tu asijaliAkija Dar nitaarifu 'nimuweke mjini'... Naahidi kumrudisha tena mikononi mwako akiwa salama ila pia akiwa ametumika kidogo tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utatumia kwa matumizi muhimu tu asijaliAkija Dar nitaarifu 'nimuweke mjini'... Naahidi kumrudisha tena mikononi mwako akiwa salama ila pia akiwa ametumika kidogo tu...
mkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina
Yeah... Hata we Miss Chagga ukiamua kunitunuku 'zawadi ya ushindi' msimu huu wa siku kuu, nitashukuje?utatumia kwa matumizi muhimu tu asijali
Ulimkuta Bikra?we akija mgegede kibabe acha wivu mkomoe kwa kumpiga shoo ya kibabe!Habari wana JF
Mimi nipo KILIMANJARO kikazi kwa mda wa miezi 6 nakaa moshi town maeneo ya soweto sasa wadau kilichonileta hapa ni hiki:
Nina msichana wangu hivi anasoma chuo cha UALIMU GREEN BIRD COLLEGE mwaka wa 3kipo mwanga kilimanjaro alinambia akifunga shule niende nikamchukue chuoni kwao nikamuambia nitakosa nafasi siwezi kuja kwa sababu ni mid day akalalamika weeee baada ya kummbembeleza sana akakubali.
Jumatano ndo wamefunga shule nikamuambia utaondoka shuleni saa ngapi?akanambia asubuhi saa 4 .Ikafika saa 4 siku ya jumatano nikampigia cm nikakuta ipo busy takribani dakika kama 20 hivi inatumika na baada ya hapo nikapiga tena ikawa haipatikani nikapiga cm ikawa haipatika mpaka saa 12 jioni ndo ananitumia text ndo nipo kwenye gari anarudi kwao Mwika. Nikamuuliza mbona cm yako ilikua haipatikani akanijibu alikua busy serious????? na hata siku moja haijawahi tokea yeye kuzima cm mda mrefu kiasi hicho na huwa akizima cm ananiambiga.
Wadau mimi mawazo yangu nahisi nimechapiwa kabisaa aisee naumia rohoo sema ndo ishatokea wewe unahisi nini? au ni mawazo yangu au ninachikiwaza ni kweli?.Daaah kinachoniuma mtoto ni mzuri hatarii.Akili yangu inawaza tuu kumuacha asiponambia ukweli anakuja kwangu jumapili kulala kwa mda wa siku 3 then aende dar es salaam jumatano ndo ataondoka.Mimi nimemruhusu tuu aje ila roho inauma saana na mpaka sasa sija muonyesha ishara yoyote kama niko na hasira nipo kawaida tuu ila ndo hivo roho inauma.
tafuta pesa kwanzaYeah... Hata we Miss Chagga ukiamua kunitunuku 'zawadi ya ushindi' msimu huu wa siku kuu, nitashukuje?
ha haha kabisaHuu ushauri bila kuwa na kichwa kinachowaza hela hautejelezeki zaidi utakuwa msumari wa moto kwenye kidonda kibichi.
Mmmngh!…miss chagamkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]yes . leo naakili ya kuzaliwa
Pesa sio tatizo... Kwani unataka advance au malipo yatafata baadaye kama kiinua mgongo?tafuta pesa kwanza
advance payment muhimuPesa sio tatizo... Kwani unataka advance au malipo yatafata baadaye kama kiinua mgongo?