Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

Quan Lup

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
683
Reaction score
946
Habari wana JF

Mimi nipo KILIMANJARO kikazi kwa mda wa miezi 6 nakaa Moshi town maeneo ya Soweto sasa wadau kilichonileta hapa ni hiki:

Nina msichana wangu hivi anasoma chuo cha UALIMU GREEN BIRD COLLEGE mwaka wa 3, kipo Mwanga Kilimanjaro. Alinambia akifunga shule niende nikamchukue chuoni kwao nikamuambia nitakosa nafasi siwezi kuja kwa sababu ni mid day akalalamika wee baada ya kummbembeleza sana akakubali.

Jumatano ndo wamefunga shule nikamuambia utaondoka shuleni saa ngapi? Akanambia asubuhi saa 4 ikafika saa 4 siku ya Jumatano nikampigia simu nikakuta ipo busy takribani dakika kama 20 hivi inatumika na baada ya hapo nikapiga tena ikawa haipatikani nikapiga simu ikawa haipatika mpaka saa 12 jioni ndo ananitumia text ndo nipo kwenye gari anarudi kwao Mwika. Nikamuuliza mbona simu yako ilikua haipatikani akanijibu alikua busy serious? Na hata siku moja haijawahi tokea yeye kuzima simu mda mrefu kiasi hicho na huwa akizima simu ananiambiga.


Wadau mimi mawazo yangu nahisi nimechapiwa kabisaa aisee naumia roho sema ndo ishatokea wewe unahisi nini? Au ni mawazo yangu au ninachikiwaza ni kweli?.Daaah! kinachoniuma mtoto ni mzuri hatarii. Akili yangu inawaza tuu kumuacha asiponambia ukweli anakuja kwangu Jumapili kulala kwa mda wa siku 3 then aende Dar es Salaam, Jumatano ndo ataondoka. Mimi nimemruhusu tu aje ila roho inauma sana na mpaka sasa sija muonyesha ishara yoyote kama niko na hasira nipo kawaida tu ila ndo hivo roho inauma.
 
Habari wana JF

Mimi nipo KILIMANJARO kikazi kwa mda wa miezi 6 nakaa moshi town maeneo ya soweto sasa wadau kilichonileta hapa ni hiki:
Nina msichana wangu hivi anasoma chuo cha UALIMU GREEN BIRD COLLEGE mwaka wa 3kipo mwanga kilimanjaro alinambia akifunga shule niende nikamchukue chuoni kwao nikamuambia nitakosa nafasi siwezi kuja kwa sababu ni mid day akalalamika weeee baada ya kummbembeleza sana akakubali.

Jumatano ndo wamefunga shule nikamuambia utaondoka shuleni saa ngapi?akanambia asubuhi saa 4 .Ikafika saa 4 siku ya jumatano nikampigia cm nikakuta ipo busy takribani dakika kama 20 hivi inatumika na baada ya hapo nikapiga tena ikawa haipatikani nikapiga cm ikawa haipatika mpaka saa 12 jioni ndo ananitumia text ndo nipo kwenye gari anarudi kwao Mwika. Nikamuuliza mbona cm yako ilikua haipatikani akanijibu alikua busy serious????? na hata siku moja haijawahi tokea yeye kuzima cm mda mrefu kiasi hicho na huwa akizima cm ananiambiga.


Wadau mimi mawazo yangu nahisi nimechapiwa kabisaa aisee naumia rohoo sema ndo ishatokea wewe unahisi nini? au ni mawazo yangu au ninachikiwaza ni kweli?.Daaah kinachoniuma mtoto ni mzuri hatarii.Akili yangu inawaza tuu kumuacha asiponambia ukweli anakuja kwangu jumapili kulala kwa mda wa siku 3 then aende dar es salaam jumatano ndo ataondoka.Mimi nimemruhusu tuu aje ila roho inauma saana na mpaka sasa sija muonyesha ishara yoyote kama niko na hasira nipo kawaida tuu ila ndo hivo roho inauma.
Acha kulia lia mtoto wa kiume!kwani umeweka gauge pale au wewe ndio wa kwanza huyo ?
 
Habari wana JF

Mimi nipo KILIMANJARO kikazi kwa mda wa miezi 6 nakaa moshi town maeneo ya soweto sasa wadau kilichonileta hapa ni hiki:
Nina msichana wangu hivi anasoma chuo cha UALIMU GREEN BIRD COLLEGE mwaka wa 3kipo mwanga kilimanjaro alinambia akifunga shule niende nikamchukue chuoni kwao nikamuambia nitakosa nafasi siwezi kuja kwa sababu ni mid day akalalamika weeee baada ya kummbembeleza sana akakubali.

Jumatano ndo wamefunga shule nikamuambia utaondoka shuleni saa ngapi?akanambia asubuhi saa 4 .Ikafika saa 4 siku ya jumatano nikampigia cm nikakuta ipo busy takribani dakika kama 20 hivi inatumika na baada ya hapo nikapiga tena ikawa haipatikani nikapiga cm ikawa haipatika mpaka saa 12 jioni ndo ananitumia text ndo nipo kwenye gari anarudi kwao Mwika. Nikamuuliza mbona cm yako ilikua haipatikani akanijibu alikua busy serious????? na hata siku moja haijawahi tokea yeye kuzima cm mda mrefu kiasi hicho na huwa akizima cm ananiambiga.


Wadau mimi mawazo yangu nahisi nimechapiwa kabisaa aisee naumia rohoo sema ndo ishatokea wewe unahisi nini? au ni mawazo yangu au ninachikiwaza ni kweli?.Daaah kinachoniuma mtoto ni mzuri hatarii.Akili yangu inawaza tuu kumuacha asiponambia ukweli anakuja kwangu jumapili kulala kwa mda wa siku 3 then aende dar es salaam jumatano ndo ataondoka.Mimi nimemruhusu tuu aje ila roho inauma saana na mpaka sasa sija muonyesha ishara yoyote kama niko na hasira nipo kawaida tuu ila ndo hivo roho inauma.
Demu wangu ndio wako niliona unampigia cm sana nikazima
 
acha uboyo wewe kijana huyo mwanamke maku atatembwa nayo hivyo anaweza gawa kwa yoyote yule. cha msingi ukipata zamu yako gegeda ufurahi basi. usiweke mwanamke roho ata siku moja itakula kwako.
 
mkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina


Are you you?
 
mkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina
Akija Dar nitaarifu 'nimuweke mjini'... Naahidi kumrudisha tena mikononi mwako akiwa salama ila pia akiwa ametumika kidogo tu...
 
Back
Top Bottom