Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo vp...Usiendekeze hisia mbaya
Hahaha roho si itazidi kumuuma miss chagga jinsi raia watavyofumua mpaka kundee yake...mkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina
Na wewe nitakupata lini jamani?[emoji30][emoji30][emoji30]Speechless [emoji40][emoji40]
Mkuu sio wote walio oa wana pesa za kuwapelekea wakwe zao. Kile kidogo ulicho nacho ukijipanga, unaoa na maisha yanaendelea. Tatizo sio kwamba eti hamna pesa za kuolea, tatizo ni kuendekeza maisha ya tamaa za mwili. Na kama huna pesa kabisa za kutunza mke, vumilia huku ukifanya kazi kwa bidii na utafanikiwa. Mkuu una uwezo kabisa wa kuzimiliki na kuzitawala tamaa za mwili wako, kila kitu kiko kwenye ubongo wako, unachotakiwa kufanya ni kuamua tu basi. Mkuu, mtii MUNGU, nawe utaishi.usemalo ni kweli lakini kaka unajua kuoa twapenda tatizo ndalama kaka maana huwezi kwenda kwa wakwe na mgegedo wako tuu, utaulizwa una nini? sasa hela tulizokuwa nazo ni za kulipia vidate sio vya kuhudumia familia. ebu tushauri tufanyaje
Swali LA kiwangoWewe umempataje wenzako washindwe?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha roho si itazidi kumuuma miss chagga jinsi raia watavyofumua mpaka kundee yake...
We lia lia JF wenzio walikuwa na miasila watakavyo mfanza vibaya,
Temba nipo hapa kwa mangI bia ya nane hii njoo nichukueDaah acha nipate kigugumizi aisee,eti kizuri kula na wenzio,aisee skubali arawa.
Nakwambia mama Temba,huo mtindo wa kulewa kwa Mangi sipendi,mwishowe utamgawia kisusio halafu nimuuwe nikafe kwa Makaranga aisee.Temba nipo hapa kwa mangI bia ya nane hii njoo nichukue
Umeongea kiume....mkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina