Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

Hvyo vifaa ni vya umeme..lazima vipitishiwe moto bila hivyo vnaharibika....we kuwa mpole tafuta kingine nawe ukipige moto...hakikisha unakipa volt za kutosha
 
polu mkuu... ila akija mpige biti la maana,,,hadi aseme ukweli..
 
mkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina
Hahaha roho si itazidi kumuuma miss chagga jinsi raia watavyofumua mpaka kundee yake...
We lia lia JF wenzio walikuwa na miasila watakavyo mfanza vibaya,
 
Wamemkula asee faster nawewe tafta cha kupoozea moyo alaf acha kupenda ivi mimi najiulizaga sana eti mwanaume unampenda mdada INAKUWAJE KWELI sijawahi kupenda
 
usemalo ni kweli lakini kaka unajua kuoa twapenda tatizo ndalama kaka maana huwezi kwenda kwa wakwe na mgegedo wako tuu, utaulizwa una nini? sasa hela tulizokuwa nazo ni za kulipia vidate sio vya kuhudumia familia. ebu tushauri tufanyaje
Mkuu sio wote walio oa wana pesa za kuwapelekea wakwe zao. Kile kidogo ulicho nacho ukijipanga, unaoa na maisha yanaendelea. Tatizo sio kwamba eti hamna pesa za kuolea, tatizo ni kuendekeza maisha ya tamaa za mwili. Na kama huna pesa kabisa za kutunza mke, vumilia huku ukifanya kazi kwa bidii na utafanikiwa. Mkuu una uwezo kabisa wa kuzimiliki na kuzitawala tamaa za mwili wako, kila kitu kiko kwenye ubongo wako, unachotakiwa kufanya ni kuamua tu basi. Mkuu, mtii MUNGU, nawe utaishi.
 
Punda wa nyuma kapigwa,ajabu wa mbele ndio analia tena kwa yowe la sauti kubwa haswa.
 
Msubir aje mshikishe adab mpaka aseme unamgegeda zen anapotea
 
Du!!!!!!! Yaani unataka awe wa peke yako !!basi huyo demu atakakuwa na gundu
 
Uyo ni wako, wengine wanapita tu mkuu. Anatafuta uzoeefu wa kuishi na wewe ktk ndoa,. Ila mademu mara ingine ukionyesha kushoboka kwa sana wanakutesa sana....
 
mkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina
Umeongea kiume....
 
Back
Top Bottom