Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
2023 mtaniambia mliyoyafanya kuufungua mwaka 2023, namaanisha mtaniambia mkesha wa mwaka mpya ulikuwaje.
Naombeni mfungue mwaka kiutakatifu, mkiuchafua kwa shahawa zenu hizo basi mjiandae kuuanza mwaka vibaya, please ni ruksa kwa waliooana tu, nanyi mkumbuke kusali kabla ya mnyanduo.[emoji120][emoji109][emoji137]
Umeandika "mwaka huu"!Ulimaanisha 2022 au 2023?Maana Bujibuji anataka ajigandamanishe kwako kama saruji kwenye kokoto,mchanga na maji kwenye moyo wako.Naolewa nivuka mwaka mkuu
Astaghifilullah!Utakuja kuua watoto wa wenzio.Dah!Mtu anaweza kutoroka kwao hivihivi.πππππHuyo keshapenda,nimempa popo kanyea mbingu mkuuπ
Macho na uzee vimekuwa dugu-moya.Afu mbona sikuandika mwaka huu,nimesema nikivuka mwaka mkuu...I meant 2023
Baba Giles alipata mahangaiko sipati picha.Mahangaiko oyeeee!πππππππππππππππππππππππππππna katerero juu....aiseeπΆπΆ
Hivi mlituambia kwa upendo uzee tuuachage mpakani?ππππMsipende uzee jaman
Mvunje kiuno kwa mitindo hadi alale nyumbani wiki asingizie anaogopa kutoka nje ana madeni.πππDepression eti sonona sijui...vyote vilimwisha...saivi anaenjoy tu.Kanizidi six years ni halali kumfanyia haya kweli? Au namwonea jamaa?
Usiogope.Nipo wakili msoma-magazeti.Ntapiga PGO hadi kesi ifutwe.πππππ nipo kufungwa mie
Mfinyie kwa ndani hadi akohoe kisugunsu(kisukuma) na kukusifu kwa Kinyachusa(Kinyakyusa)!πππππmaana nainyanyulia taratibu na kuimezesha taratibu then naipigiza fast...hapo ndo namsikia akipiga ukunga....wazungu nje.Mwache akizimia,atajijuaπ