Mimi naona haiko sawa, wewe je?

Mimi naona haiko sawa, wewe je?

man dunga

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2013
Posts
3,358
Reaction score
5,783
Wachezaji wa yanga wakiwa wamepanda bodaboda baada ya kuwasili jijini DSM wakitokea Zanzibar

IMG-20220112-WA0025.jpg
 
Lakini jana basi lao lilikuwa bandari kuwapokea wakapokewa na mashabiki kwa jagi lililofanana na kombe huku wakizomewa. Labda hiyo picha siyo ya bandarini
 
Hadi kina mayele wamekula boda alafu wanajinasibu wa kimataifa, hiz aibu ni bora lile dcm lingekujakuwapakia
 
Back
Top Bottom