Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
Habarini viongozi,
Nina umri miaka 24. Naishi ARUSHA naishi na mama yangu pekee toka nikiwa mdogo mpk sasa
Elimu yangu ni DIPLOMA OF COMMUNITY DEVELOPMENT.
Nawaomba sana msaada wa kupata AJIRA ya aina yoyote na popote pale Tanzania hii tuweze kujikwamua mimi na MAMA YANGU
Nina umri miaka 24. Naishi ARUSHA naishi na mama yangu pekee toka nikiwa mdogo mpk sasa
Elimu yangu ni DIPLOMA OF COMMUNITY DEVELOPMENT.
Nawaomba sana msaada wa kupata AJIRA ya aina yoyote na popote pale Tanzania hii tuweze kujikwamua mimi na MAMA YANGU