Udochi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 787
- 1,056
Nashughulika na biashara ya kuendesha BODABODA aina ya SUNLG, Na nina elimu ya FORM TWO, na nilifaulu masomo yote isipokuwa Kemia tu, ila sikuendelea na form three kutokana na mvurugiko wa majukumu.
Sasa nahitaji mke mwenye digirii angalau mbili ili tujenge familia mwanana na tufundishane twisheni ili nami nipate Digirii.
Karibuni.
Sasa nahitaji mke mwenye digirii angalau mbili ili tujenge familia mwanana na tufundishane twisheni ili nami nipate Digirii.
Karibuni.