Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilidhani hakuna mtu aliye comment nitumie msg kesho basi ni pm
Udochi tupe mrejesho basi km ushapata king'asti uliekuwa unamtafuta...wana jf tutakuandalia harusi babkubwa!Nashughulika na biashara ya kuendesha BODABODA aina ya SUNLG, Na nina elimu ya FORM TWO, na nilifaulu masomo yote isipokuwa Kemia tu, ila sikuendelea na form three kutokana na mvurugiko wa majukumu.
Sasa nahitaji mke mwenye digirii angalau mbili ili tujenge familia mwanana na tufundishane twisheni ili nami nipate Digirii.
Karibuni.
Mimi nimeishia la saba najishughulisha na ufundi cherehani ila nimekupenda vipi nafaa?
Haha haha mkuu umeua lkn una vigezo vya mtoa mada
Kwanza huku umepajuaje??Je huwa unavuta misokoto mingapi? Kwa siku
Nashughulika na biashara ya kuendesha BODABODA aina ya SUNLG, Na nina elimu ya FORM TWO, na nilifaulu masomo yote isipokuwa Kemia tu, ila sikuendelea na form three kutokana na mvurugiko wa majukumu.
Sasa nahitaji mke mwenye digirii angalau mbili ili tujenge familia mwanana na tufundishane twisheni ili nami nipate Digirii.
Karibuni.
Akili ya kurisiti sitaki mie. Nataka mwenye A ya kemia aisee, watoto watanilaumu bureeee:bowl:
Hivi snowhite si unamaakili ya kemia na fizikia? Dili liko hapa mama
Kule kwenye SIASA ngoja nipumzike kidogo kulikuwa kunanizeesha huku kuna RAHS ivi watu tunaburudikaaa?
Kule kwenye SIASA ngoja nipumzike kidogo kulikuwa kunanizeesha huku kuna RAHS ivi watu tunaburudikaaa?