Duh..... King'asti wewe una digrii mbili, changamkia fursa
Dili lishanipita hili mwanawane. Nilifaulu masomo yote kasoro kemia. Huyu atakuwa binamu yangu manake naona akili zetu zimefanana. Ukiona 'bwana' anaejua kemia unistue natafuta small house
Ila nilirisiti KEMIA nikafaulu,
Kwa hiyo njoo tuyajenge tu.
Nashughulika na biashara ya kuendesha BODABODA aina ya SUNLG, Na nina elimu ya FORM TWO, na nilifaulu masomo yote isipokuwa Kemia tu, ila sikuendelea na form three kutokana na mvurugiko wa majukumu.
Sasa nahitaji mke mwenye digirii angalau mbili ili tujenge familia mwanana na tufundishane twisheni ili nami nipate Digirii.
Karibuni.
Nashughulika na biashara ya kuendesha BODABODA aina ya SUNLG, Na nina elimu ya FORM TWO, na nilifaulu masomo yote isipokuwa Kemia tu, ila sikuendelea na form three kutokana na mvurugiko wa majukumu.
Sasa nahitaji mke mwenye digirii angalau mbili ili tujenge familia mwanana na tufundishane twisheni ili nami nipate Digirii.
Karibuni.
Dili lishanipita hili mwanawane. Nilifaulu masomo yote kasoro kemia. Huyu atakuwa binamu yangu manake naona akili zetu zimefanana. Ukiona 'bwana' anaejua kemia unistue natafuta small house