Mimi ni Dereva wa Bodaboda, nahitaji mke mwenye Degree angalau mbili

Nilidhani hakuna mtu aliye comment nitumie msg kesho basi ni pm
 
Udochi tupe mrejesho basi km ushapata king'asti uliekuwa unamtafuta...wana jf tutakuandalia harusi babkubwa!
 
Last edited by a moderator:
Jamani duu si keshachanganyikiwa na mwanmkr huyu si bure
 

Sio kila mwenye degree atakuwa na msaada kwako
 
Namwambia boss wako aongeze ela ya malipo kwa wiki,naona vichenji vimeanza kubaki vingi vinakuzuzua
 
MREJESHo:

MPAKA SASA HAKUNA ALIYENITAFUTA KUHUSU HILI SUALA!

NGOJA NIBADILI VIGEZO KWENYE TANGAZo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…