drummerlittle5
Member
- Sep 14, 2015
- 29
- 2
AiseeDili lishanipita hili mwanawane. Nilifaulu masomo yote kasoro kemia. Huyu atakuwa binamu yangu manake naona akili zetu zimefanana. Ukiona 'bwana' anaejua kemia unistue natafuta small house
We dogo kuna Uzi umeandika kuwa unauza duka la Mangi umeshahama umekuwa boda au ndo nyie watu ambao hamjulikani? Hafu haupo serious dogoNiletee huyo Kinga'sti haraka sana mkuu,
Huyo atanifaa sana huyo.
Hebu angalia huu uzi ni wa mwaka gani na huo wa kuuza duka ni wa mwaka gani.We dogo kuna Uzi umeandika kuwa unauza duka la Mangi umeshahama umekuwa boda au ndo nyie watu ambao hamjulikani? Hafu haupo serious dogo