God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Njaa haijakuuma vizuriHuo ndio ukweli I can't become a bodaboda rider
Hizi ndo sababu zang...
Upo kwa shemeji kila kitu unapata, ya nini uhangaike?...hongera.Huo ndio ukweli I can't become a bodaboda rider
Hizi ndo sababu zang...
ana kichapo au sio...Masikini Hana kiapo....
Tukupe miezi mingapi mtaa ukusuuze uje na Confession ?
Upo kwa shemeji kila kitu unapata, ya nini uhangaike?...hongera.
Njoo tulime graduate mwenzangu b
Hivyo vyote vinahitaji pesa,mfuko wa mbolea laki na ishirini,na utahitaji walau mitatu,shamba ukodi,bado viuwatilifu,graduate kibao wapo viwanda vya matofali,wanapakia kokoto na mchanga kwenye canterMashamba yamejaa,mifugo imejaa,bora nifuge nguruwe au nikalime matango ila sio kuendesha boda,angalau bolt au ubber ya gari ila sio boda boda
AbsoluteBora nikakate majani ya ng'ombe kuliko bodaboda
Ukichapwa na maisha kisawasawa mbona unatengua kauli😂😂ana kichapo au sio...