Mimi ni graduate ila siwezi kuendesha bodaboda wala kufanya kazi yoyoye kisa tu hela

Mimi ni graduate ila siwezi kuendesha bodaboda wala kufanya kazi yoyoye kisa tu hela

Huo ndio ukweli I can't become a bodaboda rider

Hizi ndo sababu zangu

-hii kazi Ina risk Sana
  • haina kiinua mgongo chochote
  • ni Kazi inayopigiwa chapuo na
wanasia Ila watoto wao
hawawezi kuifanya


Mimi ntaendelea kuwa mtazamaji wa mambo Ila I can't go broke I'm hustler and smart .

Graduate don't be fooled by politicians Bodaboda ni futi sita
Kauli ya kibwege sana
 
Huo ndio ukweli I can't become a bodaboda rider

Hizi ndo sababu zangu

-hii kazi Ina risk Sana
  • haina kiinua mgongo chochote
  • ni Kazi inayopigiwa chapuo na
wanasia Ila watoto wao
hawawezi kuifanya


Mimi ntaendelea kuwa mtazamaji wa mambo Ila I can't go broke I'm hustler and smart .

Graduate don't be fooled by politicians Bodaboda ni futi sita
Atleast umesema wewe ni hustler but kuna wenzio wanapiga hesabu zinakataa na wanakosa option kabisa so wanajikuta wanaangukia huko.

Bodaboda afadhali ila mimi namjua mtu ambae nimwanasheria mzuri tu kwasasa ila before that nakumbuka alitiaga binti wa watu mimba na ikabidi yule binti atimuliwe kwao na akahamia kwa jamaa.

Jamaa wakati huo mambo hayakua sawa kabisa so kodi inadai na binti wa watu anataka kula wewe kama kijana utafanyaje hapo? Yeye mwenzio ikabidi ajichanganye kutafuta vibarua ili mtoto wa watu apate kula na mimba itunzwe.

Jamaa alikua anajichanganya sana na mafundi ujenzi na akawa anapiga kazi za saidia fundi kubeba zege kupandisha tofali na kadhalika.

Hiyo short story nimeweka ili ujue kwamba kuna wakati matatizo yanakukuta unajijuta kukosa machaguo kwani yenyewe huwa hayajali degree yako wala nini yanahitaji pesa ndio yatatuliwe na unakuta huna option wala plan B, huna kaka/dada wakumuomba msaada au mjomba wa kukimbilia Kwake so option unayobakia nayo ni moja tu KUJIPAMBANIA na hapa ndipo watu wanapovua zile akili za nina degree na kuingia kwenye mapambano.

Boda ni kazi ambayo ni rahisi kujiajiri kwayo kwasababu ni rahisi wala haihitaji mtaji kuanza (mtaji ni changamoto ya vijana wengi wanaojitafuta) na haina stress sana kama kuhustle kwenye biashara nyingine na ndio maana vijana wengi wanaipenda ila ni risk kama unavyosema thou risk zipo kila pahala ila utofauti ni tafsiri na mitazo tu wa hizo risk zenyewe.
 
Sijajua mazingira yako kaka, ila ngojea wakati wako ukifika hata hiyo boda tu kuipata ni issue.

Sikutakii mabaya, nakukumbisha tu haya ni maisha. 😁
That is bullshit prophecy - I can't do that shit

Umemuona graduate wa ardhi aliyekuwa anaendesha bodaboda he end up in wheelchair 6 yrs now

A lot motherfuckers they can't understand this situation
 
Huo ndio ukweli I can't become a bodaboda rider

Hizi ndo sababu zangu

-hii kazi Ina risk Sana
  • haina kiinua mgongo chochote
  • ni Kazi inayopigiwa chapuo na
wanasia Ila watoto wao
hawawezi kuifanya


Mimi ntaendelea kuwa mtazamaji wa mambo Ila I can't go broke I'm hustler and smart .

Graduate don't be fooled by politicians Bodaboda ni futi sita
Graduate wa fani gani mkuu
 
Kama huna kazi ya maana utafanya.
Hakuna mtu anapenda kufanya kazi zisizo na maana ila watu huzifanya huku wakiangalia michongo mingine.

Kuliko ukae home kama zindiko, unaomba hadi vocha kama kuna fursa ya wewe kua boda fanya kazi huku ukilenga michongo mingine mizuri.

Nilimaliza chuo nikawa manager wa bar, sinywi pombe wala kuvuta sigara na sipendi makelele ya bar na miziki mikubwa, lakini kuliko kukaa nyumbani ikabidi niwe meneja wa Bar. Pale pale bar ndio nikapata mchongo wa maisha maana hr wa taasisi moja kubwa alikua anapenda kuja kunywa pale. Baada ya kuona kujitathmini kwa muda na kusikia hoja zangu siku moja akaniuliza nina elimu gani, nikawamwambia ndio nimemalza chuo mwaka jana, akaniuliza kama nina vyeti original, nikasema bado, akasema ukivitapa njoo ofisini kwangu, kweli nilipovipata nikaenda, baada ya wiki 2 nikapigiaa simu kwenda kusaini mkataba.

Usidharau sana watu wanaofanya kazi flani, ni vile hawajapata fursa ya kazi wanazozipenda, wakipata wataenda huko.
 
Kama huna kazi ya maana utafanya.
Hakuna mtu anapenda kufanya kazi zisizo na maana ila watu huzifanya huku wakiangalia michongo mingine.

Kuliko ukae home kama zindiko, unaomba hadi vocha kama kuna fursa ya wewe kua boda fanya kazi huku ukilenga michongo mingine mizuri.

Nilimaliza chuo nikawa manager wa bar, sinywi pombe wala kuvuta sigara na sipendi makelele ya bar na miziki mikubwa, lakini kuliko kukaa nyumbani ikabidi niwe meneja wa Bar. Pale pale bar ndio nikapata mchongo wa maisha maana hr wa taasisi moja kubwa alikua anapenda kuja kunywa pale. Baada ya kuona kujitathmini kwa muda na kusikia hoja zangu siku moja akaniuliza nina elimu gani, nikawamwambia ndio nimemalza chuo mwaka jana, akaniuliza kama nina vyeti original, nikasema bado, akasema ukivitapa njoo ofisini kwangu, kweli nilipovipata nikaenda, baada ya wiki 2 nikapigiaa simu kwenda kusaini mkataba.

Usidharau sana watu wanaofanya kazi flani, ni vile hawajapata fursa ya kazi wanazozipenda, wakipata wataenda huko.



Sijadharau MTU

Nilichofanya nimetoa my view about life and what I have been through.

Mimi ni hustler but I'm hustle harder and hustle smarter

This is my perception
 
Back
Top Bottom