Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Dogo mbona unatutukana sana?Absolute
Kuna graduate wa ARDHI amepata Ajari ya bodaboda na hawezi kutembea now is all about six years
Alikosa Kazi na akawa bodaboda.
A lot of motherfuckers they don't understand this shit
Dogo mbona unatutukana sana?
Pia sio lazima kila mtu awe boda boda,you can do what you need broohI'm hustler bro ,
Maisha yangu ni muhimu I can't become a bodaboda rider .
I hold bachelor
Mmmm hhhh !!!, Sawa ila jirani yangu ana Msc Computer Science kabla hajapata ajira ya ualimu alikuwa dereva wa bajaj.I hold bachelor degree - that enough
Mmmm hhhh !!!, Sawa ila jirani yangu ana Msc Computer Science kabla hajapata ajira ya ualimu alikuwa dereva wa bajaj.
Wewe una elimu ya kawaida tu ila umejiwekea bar kubwa sana uko "cloud nine" tena kifikra, come down to earth man pole sana. Unaona hujisikii vizuri kutaja hata graduate wa nini wakati hatujuani humu JF.Hizo Fikra kwamba wewe ni blah blah ungekaa nazo kichwani. Kumbuka ukitembea barabarani vyeti vyako havionekani kichwani kwamba wewe ni graduate. Kifupi you are just plain stupid.
No just plain truth.This is person attack
Siku nyingine andika " This is a personal attack" kwa kingereza sahihi we graduate.No just plain truth.
utakuwa tayari una cha kukuingizia pesa. njaa ikiuma vyeti huwekwa pembeniHuo ndio ukweli I can't become a bodaboda rider
Hizi ndo sababu zangu
-hii kazi Ina risk Sana
wanasia Ila watoto wao
- haina kiinua mgongo chochote
- ni Kazi inayopigiwa chapuo na
hawawezi kuifanya
Mimi ntaendelea kuwa mtazamaji wa mambo Ila I can't go broke I'm hustler and smart .
Graduate don't be fooled by politicians Bodaboda ni futi sita