Mimi ni graduate ila siwezi kuendesha bodaboda wala kufanya kazi yoyoye kisa tu hela

Oya are you sure ? Ila safi sana inabidi ujiamini hivyo hivyo
 
Unaitwa na mama chakula tayari
 
Wanangu wa2 mmoja kafa wiki iliyopita mwingine jana kisa bodaboda.
Bodaboda ni kutembea na malaika mtoa roho muda wote.
Hii kazi ya kipimbi tu binafsi naona.
 
CCM wamiboresha wanaiita maafisa usafirishaji !! Na wao walivyo mbumbumbu hufurahia Sana!! Wewe subiri kampeni zianze utawaona
 
Uzuri unaongea haya upo kwa shemeji yako,umeshiba ugali aliopika dadako msingi kiuno.

Ukianza kulipa bills ndio utaelewa life likoje.
 
Uzi huu ufanywe stick thread. Vijana bodaboda ni hatari kwa usalama wako, mtu una watoto wanakutegemea unapiga boda? Twendeni shamba wazee ila boda hapana Bora tuwe watazamaji
 
Endelea kukaa kwa shemeji mkuu.

Kubebwa kimaisha nayo no ajira
 
Kwani kuna mtu anakupangia kazi ya kufanya?
 
A lot of motherfuckers they don't understand this shit
Hizi mbona ni akili za bodaboda kabisa tofauti tu ni kwamba wewe utakua unaendesha kwa kizungu na wenda ukapata wateja wasomi kidogo.

#Afu ondoa "they" hapo kati inaharibu Grammar.
 
If ya hustler and smart why thinking of bodaboda again!
 
Afadhali wewe umejitambua - bodaboda si ajira kila siku yunawaambia. Hina futuee yoyote wewe kijana unayeshinda barabarani kukwepana na malori.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…