Mimi ni Mama jueni hilo

Kamuachaa mumee wake kafata mdundikoo😅😅😅
 
Najua nimedandia gari kwa mbele ila naapa sitoki mpaka nijue ndani kuna abiria gani. ( nijue kisa cha huu uzi )
kuna mtu juzi aliandika uzi akiuliza katoto kazuri yuko wapi? jioni akajitokeza n hii id akisema ametoka sosho coz ana mume na wtoto na blahblah kibao...lakini art yake ikawa kama ya yule dada mwenye bipolar .a.k.a Ramota wa jf..ajabu ramota wa jf akaibika kumtetea🤣🤣...watu wakajua huuu ni bipolar akaibuka na id nyingine same time anatafta marafiki...uzi uko 20pgs nw...usearch...anatukana watu kama kabwia mipombe
 
May be they're looking for peace of mind...
 
Asante sana kwa samare mkuu nilijua tuu sijadandia gari bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…