Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]Yuniki Flawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kuna mtu juzi aliandika uzi akiuliza katoto kazuri yuko wapi? jioni akajitokeza n hii id akisema ametoka sosho coz ana mume na wtoto na blahblah kibao...lakini art yake ikawa kama ya yule dada mwenye bipolar .a.k.a Ramota wa jf..ajabu ramota wa jf akaibika kumtetea🤣🤣...watu wakajua huuu ni bipolar akaibuka na id nyingine same time anatafta marafiki...uzi uko 20pgs nw...usearch...anatukana watu kama kabwia mipombeNajua nimedandia gari kwa mbele ila naapa sitoki mpaka nijue ndani kuna abiria gani. ( nijue kisa cha huu uzi )
May be they're looking for peace of mind...Yaan Kati ya vitu nisivyovitilia maanani Jf ni maneno kutoka kwa wafu wenzangu.Hukuwa na haja ya kujielezea,kujielezea ni udhaifu mpenzi.Nothing is permanent...wote siye ni wa kaburini...,ukisikia neno liache lipite ...huo ndo muda wao wa furaha to talk about others.
Ndicho nilichogundua piaMay be they're looking for peace of mind...
Yanakuaga ma polygon hayoMama mzuri mzuri...
Achana nao...
Ukiona mtu anajitetea sana kujiita mmama ujue dume hiloKwanini ujiite katoto si ujiite mmama
Asante sana kwa samare mkuu nilijua tuu sijadandia gari bure.kuna mtu juzi aliandika uzi akiuliza katoto kazuri yuko wapi? jioni akajitokeza n hii id akisema ametoka sosho coz ana mume na wtoto na blahblah kibao...lakini art yake ikawa kama ya yule dada mwenye bipolar .a.k.a Ramota wa jf..ajabu ramota wa jf akaibika kumtetea[emoji1787][emoji1787]...watu wakajua huuu ni bipolar akaibuka na id nyingine same time anatafta marafiki...uzi uko 20pgs nw...usearch...anatukana watu kama kabwia mipombe