Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We deserve, what is in public, belong to public.Why do you spend so much time explaining yourself to people who don't deserve it?
Issue sio wewe kuwa mama au binti. Ukiona watu wanakuattack, basi ujue inatokana na jinsi unavyobehave hapa jukwaani.Mie ni Mama na mjue kuwa hata mkisema mengi mie ni mama nimeolewa na watoto sio mtoto na watoto wanne mie ni mama.
Juzi kati hapa mnaniandama mie nimtu mzima sana. Ongeeni mengi ila mie ni mama.
Na mume na familia
Don't lie to yourself bhn, U careYaan Kati ya vitu nisivyovitilia maanani Jf ni maneno kutoka kwa wafu wenzangu.Hukuwa na haja ya kujielezea,kujielezea ni udhaifu mpenzi.Nothing is permanent...wote siye ni wa kaburini...,ukisikia neno liache lipite ...huo ndo muda wao wa furaha to talk about others.
Sasa hapo nimefanya utoto gani, ujue, we jitahid tu kuniamini mimi kaka yako najua mengi.🤣🤣🤣ili uache utoto
Okay 💋Don't lie to yourself bhn, U care
🤣🤣🤣 haya sawaSasa hapo nimefanya utoto gani, ujue, we jitahid tu kuniamini mimi kaka yako najua mengi.
Yani wewe 🤣🤣🤣🤣Umejitahid sana kupindisha muandika, kama sio wewe kwel vile..
NB
Ni yeyee
Uongo , ukweli????Yani wewe 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 basi sawaUongo , ukweli????
Huyo ni yeye wala haina ubishi🤣🤣🤣🤣🤣 basi sawa
amwage aone kama hatumtusui kizazi..😀Kwa hiyo unaweza ukamwaga laana?
🤣🤣🤣🤣 mnataka mpk da mau ajinyonge ndo mfurahi???Huyo ni yeye wala haina ubishi
Umeolewa na watoto?? Kwahio we ni mama wa totozMie ni Mama na mjue kuwa hata mkisema mengi mie ni mama nimeolewa na watoto sio mtoto na watoto wanne mie ni mama.
Juzi kati hapa mnaniandama mie nimtu mzima sana. Ongeeni mengi ila mie ni mama.
Na mume na familia
Mie ni Mama na mjue kuwa hata mkisema mengi mie ni mama nimeolewa na watoto sio mtoto na watoto wanne mie ni mama.
Juzi kati hapa mnaniandama mie nimtu mzima sana. Ongeeni mengi ila mie ni mama.
Na mume na familia