Mimi ni Mama jueni hilo

Mimi ni Mama jueni hilo

Mie ni Mama na mjue kuwa hata mkisema mengi mie ni mama nimeolewa na watoto sio mtoto na watoto wanne mie ni mama.

Juzi kati hapa mnaniandama mie nimtu mzima sana. Ongeeni mengi ila mie ni mama.

Na mume na familia
Issue sio wewe kuwa mama au binti. Ukiona watu wanakuattack, basi ujue inatokana na jinsi unavyobehave hapa jukwaani.

Hauna haja ya kutwambia kama wewe ni mama, dada au bibi. Tabia zako ndio zitasema.
 
Yaan Kati ya vitu nisivyovitilia maanani Jf ni maneno kutoka kwa wafu wenzangu.Hukuwa na haja ya kujielezea,kujielezea ni udhaifu mpenzi.Nothing is permanent...wote siye ni wa kaburini...,ukisikia neno liache lipite ...huo ndo muda wao wa furaha to talk about others.
Don't lie to yourself bhn, U care
 
Mie ni Mama na mjue kuwa hata mkisema mengi mie ni mama nimeolewa na watoto sio mtoto na watoto wanne mie ni mama.

Juzi kati hapa mnaniandama mie nimtu mzima sana. Ongeeni mengi ila mie ni mama.

Na mume na familia
Umeolewa na watoto?? Kwahio we ni mama wa totoz
 
Funika kombe mwana haramu apite!!

Ila sioni sababu mama watoto kwanini uzeeke na mautamu yote hayo, mzee mama kumbuka aliliae wembe hupewa.
 
Pole sana mama! Wauni walikupitia kimasihara nini? Wahuni sio watu wazuri
Mie ni Mama na mjue kuwa hata mkisema mengi mie ni mama nimeolewa na watoto sio mtoto na watoto wanne mie ni mama.

Juzi kati hapa mnaniandama mie nimtu mzima sana. Ongeeni mengi ila mie ni mama.

Na mume na familia
 
Back
Top Bottom