Mimi ni Mama wa miaka 38, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu lakini sasa mambo yamebadilika

Mimi ni Mama wa miaka 38, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu lakini sasa mambo yamebadilika

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Habari Kaka magical power,mimi ni Mama wa miaka 38 Majina naitwa Brenda, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa😭💔, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu,
1733856700407.jpg
mume wangu ni wale wanaume wapole, ananiruhusu kufanya kila kitu ninachotaka na haongei sana. Tangu nakutana naye mimi niikua mtu wa club na kupost vitu vyangu kwenye mitandao bila kujali macho ya watu.

Nilikua naweza kupost picha nimevaa kichupi nacheza, nimevaa nguo fupi na hata siku moja mume wangu alikua hajawahi kuniambia kitu, mara nyingine hata picha nilikua napost mimi.

Kuna kipindi nilimuambia nataka tattoo ya kwenye matiti nikaenda kuchora na nikapost hakujali. Tulikua vizuri sana lakini kaka juzi kuna picha moja nilipost, nilikua beach tu nimevaa nguo zakuogelea makalio yalikua wazi, ni picha ya kawaida tu ambayo hata huko nyuma nilikua napost, lakini ghafla mume wangu alikuja kwa hasira.

Aliniambia nifute, nilishangaa na kumuuliza shida ni nini akaniambia kuwa kila mtu anamuona kaoa malaya. Kaka maneno yake yaliniuma sana kwani sijawahi kumkosea heshima mume wangu, tuligombana sana kiasi alinitukana na kunipiga akaniambia nitoke kabisa kwenye mitandao ya kijamii kwani najiuza.

Niligoma ndipo akanionyesha picha yangu ipo Telegram mtu kachukua kwenye ukurasa wangu Instagram anasema najiuza, kaka sio mimi na mume wangu anajua kabisa sio mimi ila amekasirika ananiambia rafiki zake wanamuona kuwa kaoa malaya hivyo nifute picha zangu zote kwenye mitandano ya kijamii, kaka hii ni haki kweli au ananitesa tu? Maana najikuta naanza kuchukia hii ndoa😡
 
Habari Kaka magical power,mimi ni Mama wa miaka 38 Majina naitwa Brenda, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa😭💔, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu, View attachment 3174000mume wangu ni wale wanaume wapole, ananiruhusu kufanya kila kitu ninachotaka na haongei sana. Tangu nakutana naye mimi niikua mtu wa club na kupost vitu vyangu kwenye mitandao bila kujali macho ya watu.

Nilikua naweza kupost picha nimevaa kichupi nacheza, nimevaa nguo fupi na hata siku moja mume wangu alikua hajawahi kuniambia kitu, mara nyingine hata picha nilikua napost mimi.

Kuna kipindi nilimuambia nataka tattoo ya kwenye matiti nikaenda kuchora na nikapost hakujali. Tulikua vizuri sana lakini kaka juzi kuna picha moja nilipost, nilikua beach tu nimevaa nguo zakuogelea makalio yalikua wazi, ni picha ya kawaida tu ambayo hata huko nyuma nilikua napost, lakini ghafla mume wangu alikuja kwa hasira.

Aliniambia nifute, nilishangaa na kumuuliza shida ni nini akaniambia kuwa kila mtu anamuona kaoa malaya. Kaka maneno yake yaliniuma sana kwani sijawahi kumkosea heshima mume wangu, tuligombana sana kiasi alinitukana na kunipiga akaniambia nitoke kabisa kwenye mitandao ya kijamii kwani najiuza.

Niligoma ndipo akanionyesha picha yangu ipo Telegram mtu kachukua kwenye ukurasa wangu Instagram anasema najiuza, kaka sio mimi na mume wangu anajua kabisa sio mimi ila amekasirika ananiambia rafiki zake wanamuona kuwa kaoa malaya hivyo nifute picha zangu zote kwenye mitandano ya kijamii, kaka hii ni haki kweli au ananitesa tu? Maana najikuta naanza kuchukia hii ndoa😡
Kwani mlipofunga ndoa ulitutaka ushauri au kutwambia? Kuweni na siri jamanini.
 
Na hiyo ndio athari hasi za kuposti picha mbovu kwenye mitandao…, Ifikie kipindi mwanamke ukishakubali kuolewa basi ukubali kubadirika pia. Ukubali kukua kimwili, kiakili na kiroho hata kama umri wako bado mdogo.

Maana hii ni kuhama toka taasisi moja na kuingia nyingine.., hivyo huna budi kuishi chini ya sheria. Vitu vingime ni vya kujipima tu mwenyewe, je kama wewe ndo ungekuwa mwanaume ungeweza kuvumilia huo ujinga?

Unavyopost picha mbovu unataka kumfurahisha nani? Na upo ndani ya ndoa? Heshimu hata wazazi wako.., ndugu zako.., mumeo.., wakwe zako na jamii inayokuzunguka. Hakuna utakachopoteza kwa kuishi maisha ya kawaida.., ya mke mwema na mwenye kujiheshimu na kumhofu Mungu.
 
Habari Kaka magical power,mimi ni Mama wa miaka 38 Majina naitwa Brenda, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa😭💔, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu, View attachment 3174000mume wangu ni wale wanaume wapole, ananiruhusu kufanya kila kitu ninachotaka na haongei sana. Tangu nakutana naye mimi niikua mtu wa club na kupost vitu vyangu kwenye mitandao bila kujali macho ya watu.

Nilikua naweza kupost picha nimevaa kichupi nacheza, nimevaa nguo fupi na hata siku moja mume wangu alikua hajawahi kuniambia kitu, mara nyingine hata picha nilikua napost mimi.

Kuna kipindi nilimuambia nataka tattoo ya kwenye matiti nikaenda kuchora na nikapost hakujali. Tulikua vizuri sana lakini kaka juzi kuna picha moja nilipost, nilikua beach tu nimevaa nguo zakuogelea makalio yalikua wazi, ni picha ya kawaida tu ambayo hata huko nyuma nilikua napost, lakini ghafla mume wangu alikuja kwa hasira.

Aliniambia nifute, nilishangaa na kumuuliza shida ni nini akaniambia kuwa kila mtu anamuona kaoa malaya. Kaka maneno yake yaliniuma sana kwani sijawahi kumkosea heshima mume wangu, tuligombana sana kiasi alinitukana na kunipiga akaniambia nitoke kabisa kwenye mitandao ya kijamii kwani najiuza.

Niligoma ndipo akanionyesha picha yangu ipo Telegram mtu kachukua kwenye ukurasa wangu Instagram anasema najiuza, kaka sio mimi na mume wangu anajua kabisa sio mimi ila amekasirika ananiambia rafiki zake wanamuona kuwa kaoa malaya hivyo nifute picha zangu zote kwenye mitandano ya kijamii, kaka hii ni haki kweli au ananitesa tu? Maana najikuta naanza kuchukia hii ndoa😡
Achana nae huyo anakunyanyasa. Ndoa sio utumwa. Tafuta mwanaume atakayekukubalia kukaa uchi utakavyo. Kimbia toka nduki.

Kwanza wewe bado mdogo miaka 38 kubanwa kwa nini?
 
Chai bora, kilele cha uboraa
Ni chaguo la Watanzania
Kutokana na ubora wake
Na inavyoburudisha zaidi
Kwenye kununua usiseme chai tuu
Bali sema: NAOMBA CHAI BORAAA
 
Chai bora, kilele cha uboraa
Ni chaguo la Watanzania
Kutokana na ubora wake
Na inavyoburudisha zaidi
Kwenye kununua usiseme chai tuu
Bali sema: NAOMBA CHAI BORAAA
Tatizo Ilo 😂 😂 😂 🏃🏽‍♂️
 
Habari Kaka magical power,mimi ni Mama wa miaka 38 Majina naitwa Brenda, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa😭💔, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu, View attachment 3174000mume wangu ni wale wanaume wapole, ananiruhusu kufanya kila kitu ninachotaka na haongei sana. Tangu nakutana naye mimi niikua mtu wa club na kupost vitu vyangu kwenye mitandao bila kujali macho ya watu.

Nilikua naweza kupost picha nimevaa kichupi nacheza, nimevaa nguo fupi na hata siku moja mume wangu alikua hajawahi kuniambia kitu, mara nyingine hata picha nilikua napost mimi.

Kuna kipindi nilimuambia nataka tattoo ya kwenye matiti nikaenda kuchora na nikapost hakujali. Tulikua vizuri sana lakini kaka juzi kuna picha moja nilipost, nilikua beach tu nimevaa nguo zakuogelea makalio yalikua wazi, ni picha ya kawaida tu ambayo hata huko nyuma nilikua napost, lakini ghafla mume wangu alikuja kwa hasira.

Aliniambia nifute, nilishangaa na kumuuliza shida ni nini akaniambia kuwa kila mtu anamuona kaoa malaya. Kaka maneno yake yaliniuma sana kwani sijawahi kumkosea heshima mume wangu, tuligombana sana kiasi alinitukana na kunipiga akaniambia nitoke kabisa kwenye mitandao ya kijamii kwani najiuza.

Niligoma ndipo akanionyesha picha yangu ipo Telegram mtu kachukua kwenye ukurasa wangu Instagram anasema najiuza, kaka sio mimi na mume wangu anajua kabisa sio mimi ila amekasirika ananiambia rafiki zake wanamuona kuwa kaoa malaya hivyo nifute picha zangu zote kwenye mitandano ya kijamii, kaka hii ni haki kweli au ananitesa tu? Maana najikuta naanza kuchukia hii ndoa😡
Una Miaka 38 bado unaposti ujinga ujinga kwenye mitandao ya kijamii halafu unataka nitulie???
Nimekukataza mara ngapi?????

Halafu nani kakwambia uje kutangaza ujinga wako huku????

Nikirudi leo nisikute pua yako kwangu, pumbervu wewe!
 
Hapo kuna matatizo mawili LA kwanza,
Wewe kutokujitambua maana hata kama Mmeo alikuwa hasemi lolote Ila wewe haujajitambua na haujitambui.. Kwanini utume picha za hovyo Mara sijui na vichupi Mara makalio yapo nje kwenye mitandao ya kijamii??
Huna ndugu, WAZAZI, marafiki, jamaa wanaokuzunguka???
Huna watoto, wadogo zako, watoto wa ndugu wanaopita uko kwenye mitandao???
Kama watoto Hawapo Leo IPO siku watakuja kupita na kuona nini
Mama, Shanghai, Dada, Wifi n.k alikuwa anafanya..

Tatizo LA pili ni Upumbavu/Upoyoyo wa Mmeo, tabia kama hzo ilipaswa zipigwe marufuku mapema Sana na kabla ya ndoa lazima ujue nini Anataka na nini Hataki na KWAKO pia hata kama amekukuta uko kwenye mitandao or mlikutana Club Ila ilipaswa kuyajadili hayo kabla ya ndoa..
Jamii inayomzunguka ndio imepita uko na BAADA ya kuvumilia kwa kipindi Fulani tumemchana live kuwa sana..
Mwisho kabisa, vipi kuna uhusiano kati ya picha keenye thread hii na Mlengwa?? Kama ndio basi naomba namba yake ili niweze kuwasiliana naye nimshauri zaid
 
Back
Top Bottom