Mimi ni Mama wa miaka 38, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu lakini sasa mambo yamebadilika

Mimi ni Mama wa miaka 38, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu lakini sasa mambo yamebadilika

Habari Kaka magical power,mimi ni Mama wa miaka 38 Majina naitwa Brenda, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa😭💔, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu, View attachment 3174000mume wangu ni wale wanaume wapole, ananiruhusu kufanya kila kitu ninachotaka na haongei sana. Tangu nakutana naye mimi niikua mtu wa club na kupost vitu vyangu kwenye mitandao bila kujali macho ya watu.

Nilikua naweza kupost picha nimevaa kichupi nacheza, nimevaa nguo fupi na hata siku moja mume wangu alikua hajawahi kuniambia kitu, mara nyingine hata picha nilikua napost mimi.

Kuna kipindi nilimuambia nataka tattoo ya kwenye matiti nikaenda kuchora na nikapost hakujali. Tulikua vizuri sana lakini kaka juzi kuna picha moja nilipost, nilikua beach tu nimevaa nguo zakuogelea makalio yalikua wazi, ni picha ya kawaida tu ambayo hata huko nyuma nilikua napost, lakini ghafla mume wangu alikuja kwa hasira.

Aliniambia nifute, nilishangaa na kumuuliza shida ni nini akaniambia kuwa kila mtu anamuona kaoa malaya. Kaka maneno yake yaliniuma sana kwani sijawahi kumkosea heshima mume wangu, tuligombana sana kiasi alinitukana na kunipiga akaniambia nitoke kabisa kwenye mitandao ya kijamii kwani najiuza.

Niligoma ndipo akanionyesha picha yangu ipo Telegram mtu kachukua kwenye ukurasa wangu Instagram anasema najiuza, kaka sio mimi na mume wangu anajua kabisa sio mimi ila amekasirika ananiambia rafiki zake wanamuona kuwa kaoa malaya hivyo nifute picha zangu zote kwenye mitandano ya kijamii, kaka hii ni haki kweli au ananitesa tu? Maana najikuta naanza kuchukia hii ndoa😡
Mume wako yupo sahihi.
 
Habari Kaka magical power,mimi ni Mama wa miaka 38 Majina naitwa Brenda, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa😭💔, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu, View attachment 3174000mume wangu ni wale wanaume wapole, ananiruhusu kufanya kila kitu ninachotaka na haongei sana. Tangu nakutana naye mimi niikua mtu wa club na kupost vitu vyangu kwenye mitandao bila kujali macho ya watu.

Nilikua naweza kupost picha nimevaa kichupi nacheza, nimevaa nguo fupi na hata siku moja mume wangu alikua hajawahi kuniambia kitu, mara nyingine hata picha nilikua napost mimi.

Kuna kipindi nilimuambia nataka tattoo ya kwenye matiti nikaenda kuchora na nikapost hakujali. Tulikua vizuri sana lakini kaka juzi kuna picha moja nilipost, nilikua beach tu nimevaa nguo zakuogelea makalio yalikua wazi, ni picha ya kawaida tu ambayo hata huko nyuma nilikua napost, lakini ghafla mume wangu alikuja kwa hasira.

Aliniambia nifute, nilishangaa na kumuuliza shida ni nini akaniambia kuwa kila mtu anamuona kaoa malaya. Kaka maneno yake yaliniuma sana kwani sijawahi kumkosea heshima mume wangu, tuligombana sana kiasi alinitukana na kunipiga akaniambia nitoke kabisa kwenye mitandao ya kijamii kwani najiuza.

Niligoma ndipo akanionyesha picha yangu ipo Telegram mtu kachukua kwenye ukurasa wangu Instagram anasema najiuza, kaka sio mimi na mume wangu anajua kabisa sio mimi ila amekasirika ananiambia rafiki zake wanamuona kuwa kaoa malaya hivyo nifute picha zangu zote kwenye mitandano ya kijamii, kaka hii ni haki kweli au ananitesa tu? Maana najikuta naanza kuchukia hii ndoa😡
"...Awee mama we, ungekuwa we ungefanyaje..."

Monetary doctor.
 
Habari Kaka magical power,mimi ni Mama wa miaka 38 Majina naitwa Brenda, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa😭💔, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu, View attachment 3174000mume wangu ni wale wanaume wapole, ananiruhusu kufanya kila kitu ninachotaka na haongei sana. Tangu nakutana naye mimi niikua mtu wa club na kupost vitu vyangu kwenye mitandao bila kujali macho ya watu.

Nilikua naweza kupost picha nimevaa kichupi nacheza, nimevaa nguo fupi na hata siku moja mume wangu alikua hajawahi kuniambia kitu, mara nyingine hata picha nilikua napost mimi.

Kuna kipindi nilimuambia nataka tattoo ya kwenye matiti nikaenda kuchora na nikapost hakujali. Tulikua vizuri sana lakini kaka juzi kuna picha moja nilipost, nilikua beach tu nimevaa nguo zakuogelea makalio yalikua wazi, ni picha ya kawaida tu ambayo hata huko nyuma nilikua napost, lakini ghafla mume wangu alikuja kwa hasira.

Aliniambia nifute, nilishangaa na kumuuliza shida ni nini akaniambia kuwa kila mtu anamuona kaoa malaya. Kaka maneno yake yaliniuma sana kwani sijawahi kumkosea heshima mume wangu, tuligombana sana kiasi alinitukana na kunipiga akaniambia nitoke kabisa kwenye mitandao ya kijamii kwani najiuza.

Niligoma ndipo akanionyesha picha yangu ipo Telegram mtu kachukua kwenye ukurasa wangu Instagram anasema najiuza, kaka sio mimi na mume wangu anajua kabisa sio mimi ila amekasirika ananiambia rafiki zake wanamuona kuwa kaoa malaya hivyo nifute picha zangu zote kwenye mitandano ya kijamii, kaka hii ni haki kweli au ananitesa tu? Maana najikuta naanza kuchukia hii ndoa😡
NA BADO....KIFUATACHO NI KUCHINJWA NA KUFUKIWA UWANI
 
Habari Kaka magical power,mimi ni Mama wa miaka 38 Majina naitwa Brenda, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa😭💔, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu, View attachment 3174000mume wangu ni wale wanaume wapole, ananiruhusu kufanya kila kitu ninachotaka na haongei sana. Tangu nakutana naye mimi niikua mtu wa club na kupost vitu vyangu kwenye mitandao bila kujali macho ya watu.

Nilikua naweza kupost picha nimevaa kichupi nacheza, nimevaa nguo fupi na hata siku moja mume wangu alikua hajawahi kuniambia kitu, mara nyingine hata picha nilikua napost mimi.

Kuna kipindi nilimuambia nataka tattoo ya kwenye matiti nikaenda kuchora na nikapost hakujali. Tulikua vizuri sana lakini kaka juzi kuna picha moja nilipost, nilikua beach tu nimevaa nguo zakuogelea makalio yalikua wazi, ni picha ya kawaida tu ambayo hata huko nyuma nilikua napost, lakini ghafla mume wangu alikuja kwa hasira.

Aliniambia nifute, nilishangaa na kumuuliza shida ni nini akaniambia kuwa kila mtu anamuona kaoa malaya. Kaka maneno yake yaliniuma sana kwani sijawahi kumkosea heshima mume wangu, tuligombana sana kiasi alinitukana na kunipiga akaniambia nitoke kabisa kwenye mitandao ya kijamii kwani najiuza.

Niligoma ndipo akanionyesha picha yangu ipo Telegram mtu kachukua kwenye ukurasa wangu Instagram anasema najiuza, kaka sio mimi na mume wangu anajua kabisa sio mimi ila amekasirika ananiambia rafiki zake wanamuona kuwa kaoa malaya hivyo nifute picha zangu zote kwenye mitandano ya kijamii, kaka hii ni haki kweli au ananitesa tu? Maana najikuta naanza kuchukia hii ndoa😡
Screenshot_2024-12-11-10-29-53-626_com.instagram.android.jpg
 
Habari Kaka magical power,mimi ni Mama wa miaka 38 Majina naitwa Brenda, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa😭💔, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu, View attachment 3174000mume wangu ni wale wanaume wapole, ananiruhusu kufanya kila kitu ninachotaka na haongei sana. Tangu nakutana naye mimi niikua mtu wa club na kupost vitu vyangu kwenye mitandao bila kujali macho ya watu.

Nilikua naweza kupost picha nimevaa kichupi nacheza, nimevaa nguo fupi na hata siku moja mume wangu alikua hajawahi kuniambia kitu, mara nyingine hata picha nilikua napost mimi.

Kuna kipindi nilimuambia nataka tattoo ya kwenye matiti nikaenda kuchora na nikapost hakujali. Tulikua vizuri sana lakini kaka juzi kuna picha moja nilipost, nilikua beach tu nimevaa nguo zakuogelea makalio yalikua wazi, ni picha ya kawaida tu ambayo hata huko nyuma nilikua napost, lakini ghafla mume wangu alikuja kwa hasira.

Aliniambia nifute, nilishangaa na kumuuliza shida ni nini akaniambia kuwa kila mtu anamuona kaoa malaya. Kaka maneno yake yaliniuma sana kwani sijawahi kumkosea heshima mume wangu, tuligombana sana kiasi alinitukana na kunipiga akaniambia nitoke kabisa kwenye mitandao ya kijamii kwani najiuza.

Niligoma ndipo akanionyesha picha yangu ipo Telegram mtu kachukua kwenye ukurasa wangu Instagram anasema najiuza, kaka sio mimi na mume wangu anajua kabisa sio mimi ila amekasirika ananiambia rafiki zake wanamuona kuwa kaoa malaya hivyo nifute picha zangu zote kwenye mitandano ya kijamii, kaka hii ni haki kweli au ananitesa tu? Maana najikuta naanza kuchukia hii ndoa😡
Kuna punda,pundamilia na punda-mliaji.Ajichagulie jina.
 
Habari Kaka magical power,mimi ni Mama wa miaka 38 Majina naitwa Brenda, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa😭💔, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu, View attachment 3174000mume wangu ni wale wanaume wapole, ananiruhusu kufanya kila kitu ninachotaka na haongei sana. Tangu nakutana naye mimi niikua mtu wa club na kupost vitu vyangu kwenye mitandao bila kujali macho ya watu.

Nilikua naweza kupost picha nimevaa kichupi nacheza, nimevaa nguo fupi na hata siku moja mume wangu alikua hajawahi kuniambia kitu, mara nyingine hata picha nilikua napost mimi.

Kuna kipindi nilimuambia nataka tattoo ya kwenye matiti nikaenda kuchora na nikapost hakujali. Tulikua vizuri sana lakini kaka juzi kuna picha moja nilipost, nilikua beach tu nimevaa nguo zakuogelea makalio yalikua wazi, ni picha ya kawaida tu ambayo hata huko nyuma nilikua napost, lakini ghafla mume wangu alikuja kwa hasira.

Aliniambia nifute, nilishangaa na kumuuliza shida ni nini akaniambia kuwa kila mtu anamuona kaoa malaya. Kaka maneno yake yaliniuma sana kwani sijawahi kumkosea heshima mume wangu, tuligombana sana kiasi alinitukana na kunipiga akaniambia nitoke kabisa kwenye mitandao ya kijamii kwani najiuza.

Niligoma ndipo akanionyesha picha yangu ipo Telegram mtu kachukua kwenye ukurasa wangu Instagram anasema najiuza, kaka sio mimi na mume wangu anajua kabisa sio mimi ila amekasirika ananiambia rafiki zake wanamuona kuwa kaoa malaya hivyo nifute picha zangu zote kwenye mitandano ya kijamii, kaka hii ni haki kweli au ananitesa tu? Maana najikuta naanza kuchukia hii ndoa😡
Peleka jukwaa na hadithi/Tamthilia
 
Hii story nshaisoma huko feisibuku.......

Ila mfano mdg ni wanawake wengi waliopo kwenye ndoa wanajipost sana TikTok aseeh wengi wamevaa hovyo kinoma......

By the way siwezi kumpangia mtu Cha kuvaa au laa, lakini tambua mwanamke wewe ni kama bidhaa lazima kila mtu aone ubora wake anunue.....

Kwa kupost huko sidhani hata ukifunga comment section may be private/direct message lazima upatane na mashambulizi ya kutongozwa tuu .....

Ukijua umeshaolewa makalio unampostia nani Tena upo uchi ? Na mifano mwingine kama hiyo

secretarybird
 
Habari Kaka magical power,mimi ni Mama wa miaka 38 Majina naitwa Brenda, nipo kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa😭💔, mimi na mume wangu tulikua vizuri tu, View attachment 3174000mume wangu ni wale wanaume wapole, ananiruhusu kufanya kila kitu ninachotaka na haongei sana. Tangu nakutana naye mimi niikua mtu wa club na kupost vitu vyangu kwenye mitandao bila kujali macho ya watu.

Nilikua naweza kupost picha nimevaa kichupi nacheza, nimevaa nguo fupi na hata siku moja mume wangu alikua hajawahi kuniambia kitu, mara nyingine hata picha nilikua napost mimi.

Kuna kipindi nilimuambia nataka tattoo ya kwenye matiti nikaenda kuchora na nikapost hakujali. Tulikua vizuri sana lakini kaka juzi kuna picha moja nilipost, nilikua beach tu nimevaa nguo zakuogelea makalio yalikua wazi, ni picha ya kawaida tu ambayo hata huko nyuma nilikua napost, lakini ghafla mume wangu alikuja kwa hasira.

Aliniambia nifute, nilishangaa na kumuuliza shida ni nini akaniambia kuwa kila mtu anamuona kaoa malaya. Kaka maneno yake yaliniuma sana kwani sijawahi kumkosea heshima mume wangu, tuligombana sana kiasi alinitukana na kunipiga akaniambia nitoke kabisa kwenye mitandao ya kijamii kwani najiuza.

Niligoma ndipo akanionyesha picha yangu ipo Telegram mtu kachukua kwenye ukurasa wangu Instagram anasema najiuza, kaka sio mimi na mume wangu anajua kabisa sio mimi ila amekasirika ananiambia rafiki zake wanamuona kuwa kaoa malaya hivyo nifute picha zangu zote kwenye mitandano ya kijamii, kaka hii ni haki kweli au ananitesa tu? Maana najikuta naanza kuchukia hii ndoa😡
Screenshot_20241208-093315.jpg
 
Hii story nshaisoma huko feisibuku.......

Ila mfano mdg ni wanawake wengi waliopo kwenye ndoa wanajipost sana TikTok aseeh wengi wamevaa hovyo kinoma......

By the way siwezi kumpangia mtu Cha kuvaa au laa, lakini tambua mwanamke wewe ni kama bidhaa lazima kila mtu aone ubora wake anunue.....

Kwa kupost huko sidhani hata ukifunga comment section may be private/direct message lazima upatane na mashambulizi ya kutongozwa tuu .....

Ukijua umeshaolewa makalio unampostia nani Tena upo uchi ? Na mifano mwingine kama hiyo

secretarybird
Yaani mwanamke nitakayemwoa sitamrusu kuposti ujinga, kama ana Pepo la kuposti picha ya makalio yake naunda group la WhatsApp ambalo litakuwa na members wawili tu mimi na yeye. Atakuwa anapost picha za makali yake kwenye hili grupu letu pekee.

Ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom