Mimi ni mdada natafuta mchumba

hahahah jf bana akiweka mtu tangazo la kutafuta mwenza anapondwa weeeh, kwani hili jukwaa kazi yake nn?? basi lifutwe kwani halina maana
 
kiukweli nikupongeze kwa kuwa na self confidence! Ubarikiwe kupata mume mwema
 
napenda kujitokeza hapa kutafuta mwanaume ambae yupo serious na anahitaji mwenzi wa maisha ,elimu yangu ni ya chuo kikuu mimi ni mrefu ila sio mnene sana wa kawaida





MIMI NIPO SERIOUS ILA NIPO CHUO KIKUU NAKUJA HUKO ULIPO, nina miaka 24, je upo tayari. Mapenzi hayachagui umri.
 

krbu kwng hta mm na hitaj kma lako,kma vp ni PM
 

huna mtoto hata mmoja? mbona umri umeenda...?
 
Una watoto wangapi naona unajiita "mama watoto wengi" ni PM kama vipi tuongee zaidi.
 

ni Pm plz
 

ok nna hitaji kama lako nichek hapa tuangalie profile zetu kama zitamatch 0755561008 Mungu akutangulie
 
Hallow Dada, kuna mjomba wangu anatafuta mke ila alifiwa na mke mwaka jana baada ya kuugua ukimwi muda mrefu. Je uko tayari nikupe no. Zake za simu muasiliane?
 
Aisee..
Tatizo competition kubwa..mwenzenu mie mpole..lakn pia naitaj kuwa na mama watoto wa aina yako.
 
Katika vitu ambavyo ntashangaa sana, ni wewe kupata mume serious kwa njia hii.... najua inawezekana, ila nitashangaa sana.
 
Watu wanapata lkn kuna wapumbavu wanaleta dhihaka humu sijui vichwani wana mende badala ya kupita kimya kimya wao wana katisha watu tamaa.
Ifikie kipindi mod awe anawapa ban.
 
Thats good, ebu chek na mimi kwa namba 0659751370 tufanye maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…