Mimi ni mdada natafuta mchumba

Baada ya kutumika vya kutosha sasa ndo unakuja hapa jamvini kuwashika haya makubwa jamani!

Kutumika sio issue Chibolo kwani kidigitali wanasema demu wako mpya ni used kwa mwingine. The same applies to you men!
Cha muhimu ni kutumika responsibly kama ambavyo ilivyo kwako.
Jambo la msingi ni kumtakia kila la kheri mama watoto wengi ili apate kutimiza haja ya moyo wake.
 
Last edited by a moderator:

Mie huyu hapa kama bado.
 
Kutafuta mwenza siku hizi inatangazwa kama tangazo la kuuza kiwanja au gari.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Ni huko tu mlichelewa kuanza huku marekani na kule ufaransa matangazo yalianza zamani.
 
We mama watoto wengi,hebu chagua baba wa watoto wachache then mkubaliane kuunganisha koo zenu mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…