Mimi ni mfuasi mtiifu wa United States of America lakini naisikitikia Afghanistan

Mimi ni mfuasi mtiifu wa United States of America lakini naisikitikia Afghanistan

WaAfghan na mataifa mengine yenye itikadi kali hawajui nini wanataka.

Wamelilia USA aondoke Leo wameondoka wanalilia wabaki. Wapambane na hali yao
 
falcon mombasa wewe ni great thinker. Umeongea ukweli wa Mungu.

Taliban huwezi kuwatenganisha na magaidi, maharamia ila kwa kuwa wanataja uislamu kuna watu wanawaona wa maana.

Wananchi wanadandia ndege ili kuwakimbia hawa magaidi halafu kuna jitu lipo BUZA KWA MPALANGE linajifanya linaijua sana dini lina support mateso ya waafghanistan.
Piganieni HAKI kwenye nchi yenu.wabongo bana yakwenu yanawashinda mnajifanya mna uchungu na ya Afghanistan.
 
Habari za siku nyingi
Hakika tumepata kujionea kilichotokea na kinachoendelea kutokea kwenye ardhi ya Afghan

Kwa hali ilivyo pale asia ya kati ni dhahiri sasa tujiandae kushuhudia matukio makubwa ya ugaidi zaidi pengine kuliko hata ilivyowahi kutokea

Taliban wao walipokuwa wanapigana kuichukua tena ardhi ya Afghan walikuwa wanashirikiana vikundi washirika vya kigaidi au vya kimujahedeen kufika malengo yao

Sasa Taliban imepata ilichokuwa inakitaka na ndio kipindi hiki hiki ambacho Taliban wanataka kuudhihirishia ulimwengu kuwa wao sio magaidi kama dunia ilivyoamini

Swali je Taliban itajiweka upande upi ambao vikundi washirika wake wataridhika na mamlaka mapya ya Taliban

Tumeona Taliban imefungulia magereza yote yaliyokuwa na wafungwa wa ugaidi

Je Taliban itaweza vp kuzuia watu Hawa wasifanye ugaidi

Je Taliban itakubali kugawana maslah na vikund vingine vya kimujahedeen na Kama alshabab ambapo kwenye uso wa dunia Taliban inajaribu kutuonyesha wao ni malaika


Nasisitiza marekani haijashindwa kuzuia Taliban marekani imeamua kuudhihirishia ulimwengu umuhimu wa demokrasia kwa kuachia waafghan kufanya wanachokitaka

Karibuni

Nimewamiss sana karibu miaka miwili mitatu hii nimekuwa kimya sana jamiiforums
Waafghanistan hawataki demokrasia,kama wangekuwa wanataka demokrasia wasingewaachia watalbani wachukue nchi kizembe vile, jeshi linaandaliwa zaidi ya miaka kumi halafu linapigwa chini ya wiki mbili
 
Kumbe kuna watu wanaumizwa na mzee Mullah kujitwalia nchi yao,ulimwengu ilipofikia sasa ni kuongea kwa AK47,hii itawafanya wababe wa Dunia kubalance ubabe wao.
Nimecheka Sana,,,mwarabu anaroho ngumu Sana ,,,yaan pamoja na drone zote za mmarekani lkn wapi,,nchi imechukuliwa ndani ya dakika 45 tu.
 
Mimi wajibu wangu ni kumposti hapa mujahedeen wa Tanzania akiwa na wajahedeen wenzake😁😁😁
AIgDOJ.jpg
 
Waafghanistan hawataki demokrasia,kama wangekuwa wanataka demokrasia wasingewaachia watalbani wachukue nchi kizembe vile, jeshi linaandaliwa zaidi ya miaka kumi halafu linapigwa chini ya wiki mbili
Kama hawataki demokrasia kwanini wameonekana kukimbilia marekani?
 
'Super power' kapata aibu.
Aibu kuachia
falcon mombasa wewe ni great thinker. Umeongea ukweli wa Mungu.

Taliban huwezi kuwatenganisha na magaidi, maharamia ila kwa kuwa wanataja uislamu kuna watu wanawaona wa maana.

Wananchi wanadandia ndege ili kuwakimbia hawa magaidi halafu kuna jitu lipo BUZA KWA MPALANGE linajifanya linaijua sana dini lina support mateso ya waafghanistan.
Sharia law ni sheria zisizokidhi mahitaji ya ulimwengu wa Sasa...Sasa hivi wanawake wa Afghanistan hawataruhusiwa kufanya chochote zaidi ya kukaa ndani na hata wakitoka nje basi hawaruhusiwi kutoka wenyewe.hawaruhusi kufanya kaz yoyote ile si ajabu hata elimu Kama watapata inavyotakiwa
 
Wivu mbaya Sana ,,kuhodhi nchi ya wenzio ndio ugaidi Wenyewe .. Marekani Hana rekodi Nzuri ya kuwa msimamizi mkuu wa amani zaidi ya kuwa mvulugaji tu.
Labda haufahamu marekani imekwenda pale kufundisha jeshi la Afghanistan liwe imara ili liweze kupambana na vikundi vya ugaidi
 
Nimecheka Sana,,,mwarabu anaroho ngumu Sana ,,,yaan pamoja na drone zote za mmarekani lkn wapi,,nchi imechukuliwa ndani ya dakika 45 tu.
Marekani iliondoka muda mrefu sana ...inaonyesha hufuatilii kinachoendelea Afghanistan
 
Nimecheka Sana,,,mwarabu anaroho ngumu Sana ,,,yaan pamoja na drone zote za mmarekani lkn wapi,,nchi imechukuliwa ndani ya dakika 45 tu.
Marekani iliondoka muda mrefu sana ...inaonyesha hufuatilii kinachoendelea Afghanistan
 
Back
Top Bottom