Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kitu gani kimekuvutia kuja jfOut of point
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu gani kimekuvutia kuja jfOut of point
Negotiation and anythingKitu gani kimekuvutia kuja jf
Umeanza kubishanaOut of point
"...and anything"(?)Unamaanisha nini?Negotiation and anything
So kubishana ulicho niuliz tofauti na mada niloianzishaUmeanza kubishana
Gunia moja lenye kilo 100 za mchele; lina punje za mchele ngapi?Negotiation and anything
Kumbuka hukuniulz ww"...and anything"(?)Unamaanisha nini?
Upo serious...?Gunia moja lenye kilo 100 za mchele; lina punje za mchele ngapi?
Kwa hiyo wewe haupo flexible?Unanyooka na uzi kama msukule?So kubishana ulicho niuliz tofauti na mada niloianzisha
Hesabu punje hizo.U-serious pelekea Ruto na Gachagua.Upo serious...?
Kwa hiyo umemilikisha watu wakujibu kama barua ya uchumba?Kumbuka hukuniulz ww
[emoji119]Kwa hiyo umemilikisha watu wakujibu kama barua ya uchumba?
Nisem nnDah hadi useme
Ukifaulu ndio tunakusajiliUpo serious...?
Kuwa ngangari wewe.Kunyoosha mikono ni dalili ya ulegevu wa fikra.Komaa.Bisha![emoji119]
Swali lako cjakuelewa samahani unaweza rudia kuniulizaKuwa ngangari wewe.Kunyoosha mikono ni dalili ya ulegevu wa fikra.Komaa.Bisha!
Kwanza,usiandike kitoto.Hiyo "cjakuelewa" muandikie mchumba wako wa FB.Kama haujaelewa swali lirudie kusoma hadi uelewe.Swali lako cjakuelewa samahani unaweza rudia kuniuliza
Maswali niliyo ulizwa ni mengi sijajua ni Lipi la kujibuKwanza,usiandike kitoto.Hiyo "cjakuelewa" muandikie mchumba wako wa FB.Kama haujaelewa swali lirudie kusoma hadi uelewe.
But why 🤣🤣🙌Kwa hiyo wewe haupo flexible?Unanyooka na uzi kama msukule?