Mimi ni mgeni hapa JF

Sisi tinawaza bandari yetu kupewa muarabu bure wewe tinawaza ngono tu. Hiyo simu mrudishie dadako upesi
sasa bandar atanufaika nayo nani s uzao wetu na uzao wetu bila sexal utapt wapi mtt
 
sasa bandar atanufaika nayo nani s uzao wetu na uzao wetu bila sexal utapt wapi mtt
Bandari inafanya kazi sasa hivi na haina shida yoyote. Uvivu na ufisadi wenu ndiyo umetufanya tuwape watu walio serious, waarabu.
Mtu anayewaza chini tu kama wewe tukimpa bandari aiendeshe, badala ya kufikiria ufanisi yeye atafikiria chini na kuongeza nyumba ndogo.
 
[emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…