Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
like
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sio zarau, ni dharau. Jifunze kuandika kiswahili kwa ufasaha. Makosa ya kiuandishi hayavumiliki.Zarau iyo! &%& Mgeni mpe kiti akae
Jamaa wa facebook wamevamia humu tuwavumilie tu na kuwaelimishaMkuu sio zarau, ni dharau. Jifunze kuandika kiswahili kwa ufasaha. Makosa ya kiuandishi hayavumiliki.
angalia position ya mkono wakeSiyo Photoshop hiyo picha halisi.
Hiyo picha halisi kaka angalia vizuri.angalia position ya mkono wake
hiyo ni picture ya studio kabisa kaka.acha ubishi ndugu
umetumia kigezo Gani kusema ni halisi?Hiyo picha halisi kaka angalia vizuri.
halo ni suala kwelUliijuaje jamiiforum
Hahahhaahaa! Ama kweli ! ...Jamaa wa facebook wamevamia humu tuwavumilie tu na kuwaelimisha
huoni upepo kutoka kwenye panga za helikopta unampepea uso Mkuu...umetumia kigezo Gani kusema ni halisi?
Aya bahna,Hivi humu hata watoto wanaruhusiwa ?
Mkuu hivi kweli unaamini nabishana na wewe au nakusumbua?umetumia kigezo Gani kusema ni halisi?
Nimekupa likes za kumwaga, nyingine nimekufungia take away.Aya bahna,
mwambie atume namba za simu like nyingine tumtumie tgo pesaNimekupa likes za kumwaga, nyingine nimekufungia take away.
Daaaa Regan ni wew!!!!!!!!!!
Hiyo sio helikopta mkuu hio headkoptahuoni upepo kutoka kwenye panga za helikopta unampepea uso Mkuu...
hio sio Photoshop. huyu jamaa ana helikopta wazee
hiyo photoshop kiongozi kapiga studioMkuu hivi kweli unaamini nabishana na wewe au nakusumbua?
kwa yzoefu wangu wa kupiga picha ndani na nje ya Nchihuoni upepo kutoka kwenye panga za helikopta unampepea uso Mkuu...
hio sio Photoshop. huyu jamaa ana helikopta wazee
😂😂aibu nimeona mimi