Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Mungu ni mmoja,

Ukristo,
Uyahudi,
Uislam na dini zingine,ni njia tu ya kumfikia Mungu mwenye haki.

Yaani umeshuka kwenye Golden deer umeamua kupanda Majinjah kifupi safari yako utafika tu
Wakristo Bila haya husema mungu wao ni YESU! waislamu sio hivyo, usilazimishe undugu
 
Yesu ndiye njia ya kweli na uzima,tatizo mtume alioa. Mtoto wa miaka 9,hiyo ndio tofauti ya Yesu na mtume.Yesu alikuwa mwadikifu mno
 
Eti Mungu ni mmoja, hamna kitu kama hicho. Haiwezekani Mungu huyo huyo awe anaruhusu wakristu kula kitimoto alafu awakataze Waislamu wasile. Ni wewe tu umeamua kwa kutumia u-stupidity wako kuwa muislamu, sisi haituhusu. Kamueleze mkeo

kwani ni wapi Yesu alikuruhusu kula kitimoto ?? Wacha kumpinga Yesu kijana
 
Yesu ndiye njia ya kweli na uzima,tatizo mtume alioa. Mtoto wa miaka 9,hiyo ndio tofauti ya Yesu na mtume.Yesu alikuwa mwadikifu mno

Yesu ametumwa na Mwenyezi Mungu. Ametumwa awendee nani? Hebu tuiache Biblia itueleze:

Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo. Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao. Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.

Mathayo 15.21-28


Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli."


Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina. Kama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu:

Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."

Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia, The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi:

"Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:

Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua. Mathayo 7:6
 
Mungu yupi? Allah au?

JE! MUNGU NA YESU NI MMOJA?​

Makanisa ya Kikristo yanafunza ya kuwa Yesu Kristo si kama kuwa ni Mwana wa Mungu tu, bali hakika ni Mungu khasa. Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ni mmoja. Watatu katika mmoja, na mmoja katika watatu. Wote ni wa milele, wote ni sawa. Yesu ni Mungu, na Mungu ni Yesu. Hiyo ni imani ya Kikristo, ambayo inaaminiwa na karibu Wakristo wote. Hebu tuifunue Biblia tutazame inasema nini katika jambo hili?

Mt Paulo katika barua yake ya kwanza kuwapelekea Wakorintho aliandika:

Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.

1 Wakorintho 15.15

Juu ya kuwa Paulo anaambiwa ya kuwa akiamini kuwa Masihi (yaani Kristo) na Mwenyezi Mungu ni kitu kimoja hapa anasema:

"Tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo."

Ikiwa Mungu kamfufua Kristo, hawawezi kuwa wote wawili hao ni mtu mmoja. Mmoja alikuwa ni mtenda, mfufuaji, na wa pili alikuwa ni mtendwa, mfufuliwa. Kama Kristo ni Mungu mwenye uwezo wa kufufua basi maelekeo ni kusema: "Kristo kajifufua", sio kafufuliwa. Mwenye kufufuliwa ni mfu asiyejiweza kitu.
 
Narudia tena koran ni kitabu kidogo kama kipeperushi, hakina kipya zaidi ya majini kuwa waislamu na mambo ya ngono kwa kumpendelea Muhammad
Ndiyo mafundisho ya mchungaji wako Tito ??
 
Asante kwa uelewa kidogo kuhusu Yesu
 
So umeenda kwa wazee wa mabikra 72 pamoja na wavaa kobazi. Mudi aliwapiga na kitu kizito kichwani. Eti hamtaki elimu dunia, sasa umeona madhara yake unakuja kuandika ujinga
😂😂😂😂😂
 
Acha mihemko tulia uandike vizuri ueleweke!
 
Acha kuwa mateka wa dini. Mwamini Mungu

Sijui kurani/Quran, ila nijuavyo BIBLIA sio kitabu cha dini, bali ni kitabu kinachobeba na kutoa maelekezo ya Mungu. Haijalishi una dini au huna.
 
So umeenda kwa wazee wa mabikra 72 pamoja na wavaa kobazi. Mudi aliwapiga na kitu kizito kichwani. Eti hamtaki elimu dunia, sasa umeona madhara yake unakuja kuandika ujinga
😂😂😂😂😂

Kwani wewe uko kwa mabasha 100 na kuvalishwa pampers ?? Jessy aliwapiga na kitu kilaini kichwani, Eti mnaweza kuoana jinsia moja sasa unaona raha yake unakuja kuandika hadithi za mchungaji wako
 
Unajisumbua na kujichosha tu, Kristo hajawahi badirika, utazunguka kote, ila ujue jehanamu ya moto inakusubiri Kama hautatubu na kuacha dhambi na kumwamini Yesu kristo maana yeye ndio njia kweli na uzima.

Maisha ni ya kwako, na uzuri Kila mtu anakufa peke yake.

Yesu ni halisi, ukimuita atakuja na kukusikiliza, hata ukitaka umuone atakuja umuone, Sasa wewe unajichanganya kwenda kwa Mungu mfu. Shauri yako
 
YESU NI MWILI NA NAFSI ....NAFSI NI MTAWALA WA MWILI YENYEWE NDIYO INAUTUMA MWILI KUFANYA UFANYAVYO ....NAFSI NI MFALME WA MWILI WAKE MTU .....HIVYO YESU ALITUMWA NA NAFSI YAKE AMBAYO NDIYO MUNGU ....maana inasema mwana anatenda tu yale yampendezayo baba, tafsiri yake ni mwili unatenda yale tu yaipendezayo nafsi yake ambayo ndiyo baba ambayo ndiyo Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…