Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Wabeba box wana Jf ni easy kuwajua, utawakuta online usiku hawalali...
Kina Nyani Ngabu na Wenzake
Boflo unampenda sana mshkaji ehhhhh? Maana hujaanzisha thread usimtaje!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabeba box wana Jf ni easy kuwajua, utawakuta online usiku hawalali...
Kina Nyani Ngabu na Wenzake
bht kumbe tuna udugu..
Nimefurahi kulijua hilo.
Unapatikana pande zipi kwa sasa
Mchaga.
Upanga mtaa gani Boflo? Nakuja huko soon halafu mi nikiwa Dar nakuwa upanga west, Kiwanuka/mataka streetMimi niko Dar Upanga..
Nikija huko nitakutafuta.
Na ww ukija Dar nataka tuonane
Chei chei..
Mimi ni mpare nilichanganyika na msukuma.
Hapa umeshampoteza...anafahamu tu upanga, but mitaa haifahamu!Upanga mtaa gani Boflo? Nakuja huko soon halafu mi nikiwa Dar nakuwa upanga west, Kiwanuka/mataka street
Mkara
Mmh..Kongosho,kumbe rejao ni mbeba box?
Ngoja nimbane kabisa.
Haina mbayaniko Upanga East, close to Shaban Robert Itakuwa bomba tukionana,
Hahahaa Rejao acha uchokozi aisee, Boflo toto la upanga East mitaa ya karibu kabisa na olimpio na daimondi na shaaban robertHapa umeshampoteza...anafahamu tu upanga, but mitaa haifahamu!
Wewe umesema west yeye akadakia fasta fasta east! Hizo mzumbe un,diamond, olimpio hata hazifahamu! Kama unabisha muulize muhimbili, Tumain hosp au makao makuu ya JWTZ yapo pande zipi!Hahahaa Rejao acha uchokozi aisee, Boflo toto la upanga East mitaa ya karibu kabisa na olimpio na daimondi na shaaban robert