Nafikiri umeshaamini kuwa jamaa siyo mkazi wa Upanga! Atuachie wa upanga tujidai hapa!!Hahahaaa Boflo kwa mafiksi mi ndo nakupendeaga aiaee...
Olimpio ni shule ya msingi bana
Halafu wee kwani ni chaufer Boflo?
Aah sio hapo bana, mbona hapo mbali sana na kona ya mzumbe? Hapo si karibu na miembe ya gereji?
Hizo chipsi vumbi ni ukitokea tu kona ya mzumbe kuingia barabara ya mfaume, kulia kwako mwishono ni ukuta wa shaaban robert na kushoto ukishuka ndo utakuja kwa muchacho wako.
Kwa Bush je unapajua pale mtaa wa mazengo?
Mkara
Mmh..Kongosho,
Kati yangu mimi na wewe nan huwa anakuwa online 24/7?
Kwa hii post unazidi kuonyesha kuwa Upanga badooo huifahamu na wala hujawahi kuishi!Hivi Olympio hawana sekondari pale sijajua, si unajua hapa kuna mashule mengi yanachanganya
mmmmmh !
Wewe umesema west yeye akadakia fasta fasta east! Hizo mzumbe un,diamond, olimpio hata hazifahamu! Kama unabisha muulize muhimbili, Tumain hosp au makao makuu ya JWTZ yapo pande zipi!
Una c .v zote za kua Rais wetu, lakini dooh! Mka.... (source Baba wa Taifa)
Kwa hii post unazidi kuonyesha kuwa Upanga badooo huifahamu na wala hujawahi kuishi!
Hahah...yaelekea wewe una rafiki yako anayeishi mitaa hiyo! Mi nimezaliwa na kukulia sea view! Au unataka nianze kukutajia majirani zangu!!
We si unaishi pale gorofani?anajua upanga kusini tu, huko east na west coast hata mie sipapendi maana palisababisha Tupac na BIG kuuana bure.
Tatizo kuna watu wengi huwa wanajidai wanalifahamu jiji kama huyu Boflo, kumbe hawajui chochote! Ndio najaribu kumuumbua mmoja baada ya mwingine!hili neno nishalisikia kama mara elfu moja kwa watu walokulia maeneo hayo hasa vijana, lakini huwa najiuliza inasaidia nini kama wakuja wana-run jiji?
Tatizo kuna watu wengi huwa wanajidai wanalifahamu jiji kama huyu Boflo, kumbe hawajui chochote! Ndio najaribu kumuumbua mmoja baada ya mwingine!
Heheheee wewe bana...anajua upanga kusini tu, huko east na west coast hata mie sipapendi maana palisababisha Tupac na BIG kuuana bure.
Tatizo kuna watu wengi huwa wanajidai wanalifahamu jiji kama huyu Boflo, kumbe hawajui chochote! Ndio najaribu kumuumbua mmoja baada ya mwingine!
Kumbe uchaga dili eeh?
Napafahamu tu kilimanyege karibu na Didz na Jackiez!Wewe unapafahamu Kilimahewa?
aaah sio huko banaHapo unaposema nimeshakujua, ni karibu kabisa na John Bosco, Nje wanauza chips, na ndani kuna Bar, masister du wengi wanakuweko hapo