Hapo nakuamini, kariakoo unaweza ukawa kweli hupafahamu! watoto wengi wa Obey mnafungiwa tu ndani kama mikuku ya kisasa!usiniumbue basi hani
ujue mie nimekulia Obey kabisa, basi tu.
Afu sikubahatika kufika kariakoo kabisa, naskia mitaa ya huko huchanganya.
endelea kuguna ivo ivo....mmmmmh
Heheheee wewe bana...
Hivi si na wakina AY walikuwaga na east coast yao?
Napafahamu tu kilimanyege karibu na Didz na Jackiez!
Nimbie mpz..j2 yako vp?Darling!!!!!
Nimbie mpz..j2 yako vp?
Majukumu ndio yamenizidi kipenzi changu...nakitengenezea maisha mazuri hicho kiumbe chetu ndani yako!Niko poa kbs hofu kwako mme wangu!
Majukumu ndio yamenizidi kipenzi changu...nakitengenezea maisha mazuri hicho kiumbe chetu ndani yako!
Napafahamu tu kilimanyege karibu na Didz na Jackiez!
Mimi ni Msukuma wewe mnyamwezi sisi sote ndugu
Sijajibu chochote kuhusu kilimahewa, nimeongelea kilimanyege!Kumbe na wewe hulijui jiji! Kilimahewa halisi ni Tandika.
Nakisubiri kwa hamu!Pole mme wangu,na mie wajibu wangu kukitunza kwa uangalifu miez michache ijayo ufurahie kuitwa baba!
Nakisubiri kwa hamu!
Lazima kitakuwa na sura kama ya baba yake!!
Pls Rejao na sisi mjaribu kutufafanulia vizuri hy mitaa ya jiji, si unajua tangu tuzaliwe hatujawahi kuigusa Dar.Hapo nakuamini, kariakoo unaweza ukawa kweli hupafahamu! watoto wengi wa Obey mnafungiwa tu ndani kama mikuku ya kisasa!
Bora mkuu umesema mapema...karibu sana jijini, huku hamna jipya zaidi ya mifoleni!Pls Rejao na sisi mjaribu kutufafanulia vizuri hy mitaa ya jiji, si unajua tangu tuzaliwe hatujawahi kuigusa Dar.
Sijui mwaka gani tutafika?
Duh! Jamaa naona kaingia chaka tena!aaah sio huko bana
Asante mkuu! siku ikitokea bahati nikaja huko nitakutafuta...! unitembeze niuone mji.Bora mkuu umesema mapema...karibu sana jijini, huku hamna jipya zaidi ya mifoleni!