Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,064
Hapo nakuamini, kariakoo unaweza ukawa kweli hupafahamu! watoto wengi wa Obey mnafungiwa tu ndani kama mikuku ya kisasa!usiniumbue basi hani
ujue mie nimekulia Obey kabisa, basi tu.
Afu sikubahatika kufika kariakoo kabisa, naskia mitaa ya huko huchanganya.