Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Ni pm dada nina sifa zote ulizozitaja
 
weka picha
 
Vipi akiwa mla 0713?
 
Hujataja specification zako...

1. K yako ina uzoefu wa muda gani kwenye game?
2. Umewahi kupigwa mtungo?
3.shape yako ni ya aina gani?
4. Kimo chako ni kiasi gani?
5.nini kimekusukuma kutafuta wanaume mtandaoni hao wa mtaani, shule, kanisani umewamaliza?

Ukijibu haya maswali niko tayari kuacha pombe nikuokoe na upweke ulionao.
 
Mwaka huu kweliiii, naamn kwa jinsi nilivyomvumilivu vigezo vitashuka tu hadi Certificate,
Ikifika ngazi yangu nishtueni nichangamkie fursa kudadeki
 
Yani msafi, mtanashati hafu awe singo kukusubiri wewe!!...??


Ngoja nikupe mbinu
Tangazo lako inabidi lisomekr hivi
Mchafu
Mlevi
Mvuta sigara
Anatakiwa awe mume wa maisha

Ili akijitokeza uanze juhudi za kumtengeneza vile upendavyo
 
Weka picha yako kama una nia ya dhati,watu wakutathmini
 
Daah nimekosa mke kisa sio mtanashati.
Hahaha... Mimi nadhani wangekuwa wanaweka na picha zao,hii ingekuwa mzuli zaidi...sasa MTU anatafuta mume alafu yeye haonekani huoni kama kituko hicho!!
 
Ungeongeza sifa kuwa ALIYE NA NGUVU ZA KIUME.
 
Mbona on hmuendi?Mnaweka matangazo lakini hamko serious!
 
Interview lini sasa ili nami nijue kama unasifa nizitakazo...nitafute nikutest kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…